Eti wanaume ni Malighafi!
Jamani....
Nikiwa safari kuelekea Nairobi nilifanikiwa kuonana na mama mmoja Mchaga aliyefanikiwa sana. Ana hoteli Arusha, Moshi na pia ana export kahawa.
Nilijiuliza sana huyu mama amewezaje?
Ikabidi nianze kumchimba.
Aliponiambia wanaume ni Malighafi, nilishtuka...
Sababu ameshaijua kama ametoa mimba mara 3!!!
Hakuna muujiza ashukuru Mungu tuu.
Mayai hayo yanakuja kwa hesabu sasa ameharibu mwenyewe asitafute visingizio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.