Sawa!!,lkn anapaswa kuelekezwa namna ya kuitunza mimba tu na kukubali kuibeba hiyo aibu,kawaida ya Dhambi yoyote lazima mwisho wake uibebe aibu,sasa akitoa atakuwa ametenda dhambi nyingine ya mauti ya mauaji,wakati akitunza mimba hadi kuzaa atakuwa na dhambi moja tu,pia ieleweke kuwa Utoaji mimba ni hatari anaweza asiishie kumuua mtoto tu,bali hata mjamzito mwenyewe(mchumba wa binamu yake) kupoteza maisha;Ndugu zangu tusitoe tu ushauri kwa mihemko bali kabla ya kumshauri mtu tupime kwenye mzani Madhara yatakayokuja kujitokeza baadaye,Kuzaa hakuna madhara makubwa km kutoa mimba japo yaweza kutokea km bahati mbaya vifo vikawepo lkn yote kwa yote UTOAJI MIMBA NI HATARI NA NI HARAMU.