Vituko vya binti wa mama mwenye nyumba

Vituko vya binti wa mama mwenye nyumba

Yule mkwere kaharibu sana taifa Letu.
Yaani na wewe umemaliza chuo?
suala dogo kama hili la kutatua mwenyewe,unakuja kulianika hapa?

Kata hiyo kamba basi,kama unaona anakukera
Utakuta Binti wa watu hata habari na wewe hana,Basi tu shobo zako.

Nilichojifunza kwa huyu msomi wetu ni kimoja tu. Amemaliza chuo takribani miaka mitatu iliyopita, yupo mjini amepanga, na anaonyesha yuko bize mtaani kutafuta ajira. Sasa anaporudi geto na kuziona zile nguo za mtoto wa mwenye nyumba zinamuongezea maruhani kabisa!
Mbona mambo madogo sana hayo! angekua anakuja chumbani kwako kuangalia muvi akiwa amevaa kanga moja si ungezimia kabisa!
 
Nimechoka wakuu.

Kwani mkuu we shidako n nini haswa? Hujawahi kuona nguo za ndani? Coz beach, madukani, barabarani, kwenye daladala, videos na movies hizo vitu zipo. Kwenye kamba za jirani zipo. Sasa kipya hapo kipi? We mwache binti wa watu aanike nguo vijidudu vife awe na afya tele.
 
Mkuu weka picha tutajuaje kama ni kweli???
 
Bro mie hizo nyumba nazitafuta sana lakini sizipati dah! Ningekuwa mie ningefurahi sana unakura mzigo bure
 
Angalia usijibakishe mwenyewe badala ya kubakwa.
Kamba zipo nyingi kaanike kwengine pengine amezoea kuanika nguo zake hapo kabla hata hujahamia.
 
biashara matangazo, akianika tena muulize anauza hivyo vyuuuupi kwa bei gani.
 
ha haha nunua kamba funga kwenye dirisha lake halafu mwambie awe anaanika huko
 
Hiyo ni dalili ya kukuhitaji Kaka, ni jukumu lako kunyoa au kusuka
 
Kuna siku utaanzisha thread kuwa umelala na mdada kitandani umekuta ana matundu mawili moja katikati ya makalio na jingine chini ya kitovu na utataka tukushauri udumbukize dushe yako kwa tundu lipi.
heshima kwako mkuu....
 
Jamani mbona tunashidwa kumuelewa huyo jamaa eti mnasema "chupi ndio nini"??,,. Tumesahaua mwanaume ana udhaifu wake kwa kitu flani kwa mwanamke ' yeye labda akiona chupi anakuwa hajiwez, amekufa ameoza kwa mwanamkei au anakereka vyote vyawezekana ,, sasa we mwanamke unaanika kufuri lako kwenye nyumba ya jumuiya ya watu hasa wapangaji unatangaza nini????


  • Lakini pia brother angalia na soma alama za nyakati kwa huyo dada si unajua wana mbinu nyingi hao za kukuvutia nahisi ushapendwa tialee
then ukishamchukua hyuo bint nahsi kodi ya nyumba huwez lipa si mtoto wa bossy ni mkeo



AFADHALI BABA MWENYE NYUMBA KULIKO MAMA MWENYE NYUMBA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom