Recent content by TILALILA

  1. TILALILA

    Kikwete na Pinda acheni kuvuruga nchi yetu

    Pinda pinda pinda tuhurumieeeeeeeee
  2. TILALILA

    Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau, Jiandaeni kwa "Karma!"

    Nonsense,u I didn't know if such fool people like you still exist.
  3. TILALILA

    Hivi mmiliki wa TSN supermarkets ni nani?

    Ni mimi hapa naitwa tilalila
  4. TILALILA

    Tanzia: Mwanamuziki Geez Mabovu aaga dunia

    Rest in Peace
  5. TILALILA

    Kama humpendi mtu mwambie kuliko hivi

    Duuuu dunia imeisha
  6. TILALILA

    Akina dada na usafiri wa 'bajaj' vipi?

    Wanawake wengi wanakuwa wanawahi APPOINTMENT,unakuta jamaa amempigia simu nipo sehemu flani fanya fasta uje ndo hapo wanachukua pikipiki. Pia kuna wengine wana watoto wachanga au wadogo so wanakuwa wanawahi kunyonyesha. ni hayo tu.
  7. TILALILA

    Akili ya msomi wa kitanzania,je tutafika?

    Fikra mbadala za mtoto wa kitaa anayejua maisha capital tzs 10,000,000 bodaboda tatu(3)@ 1,800,000 =5,400,000. Mpesa tigopesa airtelmoney =2,000,000. Salon ya kiume ya kitaa, = 1,000,000. Chumba kimoja 50 000 kodi miezi 6 = 300 000 mazaga ya geto...
  8. TILALILA

    Baada ya nauli kupandishwa, wananchi kutembea kwa miguu

    huu ni uzushi,watu wapo kwenye pilika zao za kila siku,sio kwa sababu ya nauli kupanda. Kwa wale wanaosafiri mwenge to tegeta hadi bunju ni kawaida sana kulipa nauli ya buku,bukujero hadi buku 2,so ni kawaida tu,tumezoea..............
  9. TILALILA

    Wenye visimbuzi (ving'amuzi) vya Startimes.. mnapata signals..

    namba ya simu ya Waziri Mbarawa 111 and 112
  10. TILALILA

    Serikali yatangaza bei mpya ya unga Dar

    Unga tayari,mboga je? Tunataka nyama ishuke hadi 1000 kwa kilo
  11. TILALILA

    Hivi watanzania tunaweza kupata viongozi wasafi kutoka katika jamii ya watu wasiokuwa wasafi?

    Mkuu umeandika mambo mengi sana ila huna point. Viongozi wasafi wapo na wanajulikana,pia wachafu wapo na wanajulikana,ndo maana tunafanya uchaguzi kuwachagua wasafi na kuwaacha wachafu. Kwa kukusaidia zaidi CHAGUA VIONGOZI WA CHADEMA ili upate viongozi safi,achana na viongozi wa CCM wengi wao ni...
  12. TILALILA

    Dkt. Slaa Ziarani: Ukaguzi, uhai na ujenzi wa chama Dar Es Salaam

    Kamanda mkuu,mpiganaji wa ukweli 2015 WATATUTAMBUA.
  13. TILALILA

    PICHA: Harakati za CHADEMA huko Karagwe, Kagera

    Ccm wakipona safar hii mi nahama nchi.
Back
Top Bottom