wikiliks
Member
- Dec 15, 2012
- 84
- 27
MIMI NIMEMALIZA SHAHADA YA SANAA YA ELIMU `` NATAKA NIPATE KAZI ANGALAU IWE NA MSHAHARA WA KUANZIA SHILINGI 500,000 KWA MWEZI,baada ya miezi mitatu /probation ikiisha nitaomba mkopo wa milion 10 ili niweze kununua gari ya kwendea kazini na kula bata ya milioni 7,na inayobaki nipange chumba full furniture, nitakuwa nakatwa sh. 280,000 kama sehemu ya kulipa deni hivyo kufanya kipato changu kibakie 230,000/- kwa mwezi, nawaza kwa sauti tu jamani``
naomba mnisaidie maswali haya
1.mafuta ya gari nitatoa wapi?
2. je katika muono wangu nimefikiri kwa kutumia degree hapa?
3.mnadhani kwa namna hii nitapata maendeleo?
HIVI NDIVYO WASOMI TANZANIA WALIVYOANDALIWA KISAIKOLOJIA,JE TUTAFIKA?
naomba mnisaidie maswali haya
1.mafuta ya gari nitatoa wapi?
2. je katika muono wangu nimefikiri kwa kutumia degree hapa?
3.mnadhani kwa namna hii nitapata maendeleo?
HIVI NDIVYO WASOMI TANZANIA WALIVYOANDALIWA KISAIKOLOJIA,JE TUTAFIKA?