Recent content by Thubo

  1. Thubo

    Nauza Jaba la kuhifadhia maji

    kama uko siriasi tuwasiliane
  2. Thubo

    Huwa simrudii mwanamke wa hivi

    akili chafu haijawahi kumuacha mtu salama,,, bora nngesema Mimi ambaye najinyima kula ili ale yeye ila bado anaona hakimtoshi tena anasindikizia kwa kusonya,,nahisi nilimpendea figo,mda c mrefu ntabadili figo naye apambane na 2017 mjini
  3. Thubo

    Msaada: Baada ya kuroot simu imeanza kuwa slow

    inawezekana cha msingi upate firmware sahihi
  4. Thubo

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    sio poa,,,hahahaaaaa mi nilkua mgeni halali
  5. Thubo

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    daaah hii INA uhalisia ndani yangu
  6. Thubo

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Angalau nimeuona wazi wazi umuhimu wa kupambana na hali yangu,,,, "Leta supu chapati"
  7. Thubo

    25 Facts You Probably Didn't Know About Africa

    Kumbe Mugabe sio wa kisport sports ee!!
  8. Thubo

    Nipo kwenye harakati za kutembea na adui wa mke wangu

    Nyie mlikuwa mnazini moyoni nyie... Mlikuwa mnatamaniana sa ivi mmepewa fursa et mnapanga mechi!!! Anyways... nabet "Both teams to score"
  9. Thubo

    TRA waifungia Sahara Media(Star TV, RFA) kwa kudaiwa Kodi ya Sh. Bilioni 4.5

    Kumbe ni kweli aisee RFA inatema kimombo balaaa yani hapa nasikia majina ya nchi tu!!!
  10. Thubo

    Ziara ya Everton na ujinga wa watanzania

    Acha complications zisizo na umuhimu kwenye soka,,unalauuuuuum ka vile uliwapasia assist wakagoma kufunga!! Mi na MTU anae laum....0 B
  11. Thubo

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Aliyepoteza iPhone 5 Jana usiku anicheki asee...nmeshindwa kuitoa lock so sioni faida yake,,uje na hela ya kodi ya miezi miwili tu @40
Back
Top Bottom