Ziara ya Everton na ujinga wa watanzania

Ziara ya Everton na ujinga wa watanzania

Ninasikitika saaana na naona aibu kujiita mtanzania,kila nikifikiria baadhi ya mambo najikuta si TZ,eti SPORTPESA wameandaa mashindano na wakatangaza kuwa mshindi wa mashindano hayo atacheza na everton,cha ajabu wenzenu wa KENYA wakajipanga kwelikweli ili waweze kucheza na everton lkn nyie watanzania mkaleta politik matokeo yake leo everton wanacheza na wakenya ndani ya ardhi yenu nyie wenyeji mnabaki kuwa watizamaji,kwa maana ingine wa KENYA wanaona mbali kuliko wa tz,eti kisingizio ni kuwa ligi yenu iliisha na wachezaji wenu wazuri walikuwa timu ya taifa!nikajiuliza hata niyonzima,kamusoko,ngoma,tambwe,chirwa,na mkata umeme (upande wa yanga) wote walikuwa taifa star?maana najua ngoma,kamusoko,tambwe,hawapo timu ya taifa zao,mlishindwaje kujipanga mpaka wa kenya wanawaaibisha mchana kweupe?.mwisho nikajua ndio kumbe maana TZ nzima hakuna kiungo bora kama niyonzima,wala mshambuliaji bora kama okwi,wala kamusoko wala mavugo,na ndio maana wananunuliwa ghali,naamini wote hao wangekuwa wa TZ woote hao wangeitwa taifa star,lkn angalia kule zimbabwe hawana namba,lkn TZ ni mali,

Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
Walaumu simba,yanga na singda united
 
Kwa hiyo wewe siyo Mtanzania? Na siyo kinachokuuma nini sasa?
....Wewe unachojua zaidi ni issue za Lumumba,haya kwa kweli ni sawa na kujaribu kupanda mwendokasi kupitia dirishani...
 
Ninasikitika saaana na naona aibu kujiita mtanzania,kila nikifikiria baadhi ya mambo najikuta si TZ,eti SPORTPESA wameandaa mashindano na wakatangaza kuwa mshindi wa mashindano hayo atacheza na Everton,

cha ajabu wenzenu wa KENYA wakajipanga kwelikweli ili waweze kucheza na Everton lkn nyie watanzania mkaleta politics matokeo yake leo Everton wanacheza na wakenya ndani ya ardhi yenu nyie wenyeji mnabaki kuwa watizamaji.

Kwa maana ingine wa KENYA wanaona mbali kuliko wa tz,eti kisingizio ni kuwa ligi yenu iliisha na wachezaji wenu wazuri walikuwa timu ya taifa!nikajiuliza hata Niyonzima,Kamusoko,Ngoma,tambwe,chirwa,na mkata umeme (upande wa yanga) wote walikuwa taifa star?

maana najua ngoma,kamusoko,tambwe,hawapo timu ya taifa zao,mlishindwaje kujipanga mpaka wa kenya wanawaaibisha mchana kweupe?.

Mwisho nikajua ndio kumbe maana Tanzania nzima hakuna kiungo bora kama Niyonzima,wala mshambuliaji bora kama Okwi,wala Kamusoko wala Mavugo na ndio maana wananunuliwa ghali,naamini wote hao wangekuwa wa Tanzania woote hao wangeitwa taifa star,lkn angalia kule Zimbabwe hawana namba,lakini Tanzania ni mali,

Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
Mamamaemkundwakomjingsana

Kwa hiyo ni sifa sana kwa timu ya kenya kucheza na timu ya evarton
 
Wazungu wanachojua timu yao ipo Tanzania period.

Na inacheza na Gor mahia ya Kenya ambayo wao wataelewa ni kama mkoa ulioppo ndani ya Tanzania.

Ila wataelewa Tanzania ndipo kule kuna Ngorongoro alipokuja Beckham na kupiga picha moja tata na bintiye huku Simba Mnyama akiangalia kwa bashasha.
Hahaha! Unataka kusema hawajui Victor Wanyama katoka Kenya?
 
Aibu kubwa

Sent from my DP7CPRO using JamiiForums mobile app
 
Acha complications zisizo na umuhimu kwenye soka,,unalauuuuuum ka vile uliwapasia assist wakagoma kufunga!! Mi na MTU anae laum....0 B
 
simba katolewa fans wa yanga wanafurahia then yanga wanatolewa fans wa simba wanafurahia.... utaelewa baadae
 
Ni bora wacheze na wakenya kuliko kupata fedheha ya kufungwa kapu la magoli
 
Mzee acha wanaume waje watuzalishe humuhumu kwetu. Kama mpira hatujui, sasa hata sebene tushindwe!
 
IMG_20170713_061213.jpg
IMG_-uo1t14.jpg

Hata serikali haikujipanga juu ya ujio wa Everton,mashabiki wamegandishwa Saa kadhaa airport wakisubiria VISA,kuhusu uliloandika lina mantiki ila na serikali pia iangalie fursa kama hizi kupitia utalii

May Allah bless Me and You
 
Waende wakachezee kenya

Sent from my Apple iPhone 7 plus using Jamiiforums mobile app.
 
View attachment 540903View attachment 540904
Hata serikali haikujipanga juu ya ujio wa Everton,mashabiki wamegandishwa Saa kadhaa airport wakisubiria VISA,kuhusu uliloandika lina mantiki ila na serikali pia iangalie fursa kama hizi kupitia utalii

May Allah bless Me and You
Waache usenge hao wazungu mbona visa zao tinahangaika hata miezi zaidi ya mitatu? ***** zao

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
 
Du! sawa bwana!

Sent from my PHILLIPIS ALSO KNOWN AS DOLE GUMBA using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom