Msaada: Baada ya kuroot simu imeanza kuwa slow

Msaada: Baada ya kuroot simu imeanza kuwa slow

Ulitakiwa ujue system apps gani ni safe kuzi uninstall na zipi ni unsafe.

Mara nyingi phone call na sms app hushauriwi kabisa kuzi uninstall.
ndio ishatokea hivyo sasa inakuaje nini ufumbuzi
 
nipo na jelly ben tecno h5 baada ya kuiroot nikaona nitoe system apps ambazo huwa sizitumii na nyingine nikaamua kuzibadilisha

nikatoa phone call ya system nikaweka treu caller
pia nikatoa system app ya sms nikaweka go sms

lakini kila nilipobandua system apps nilipata onyo hili

removing system apps may cause system instability and other problems

onyo hilo nikalichukulia kua ni mkwara wa developer tu
ili nisitoe za kwake na kuweka za ukweli

ila naona sm imeanza kua slow sana ukigusa app inachukua muda kufunguka sijajua nini cha kufanya kwa anaejua naomba solution ni nini
Just update a new software ,dat is the solution !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nipo na jelly ben tecno h5 baada ya kuiroot nikaona nitoe system apps ambazo huwa sizitumii na nyingine nikaamua kuzibadilisha

nikatoa phone call ya system nikaweka treu caller
pia nikatoa system app ya sms nikaweka go sms

lakini kila nilipobandua system apps nilipata onyo hili

removing system apps may cause system instability and other problems

onyo hilo nikalichukulia kua ni mkwara wa developer tu
ili nisitoe za kwake na kuweka za ukweli

ila naona sm imeanza kua slow sana ukigusa app inachukua muda kufunguka sijajua nini cha kufanya kwa anaejua naomba solution ni nini
iflash mzee
 
Back
Top Bottom