Hapana mkuu
Mapyaaa hayaHapa ikumbukwe kuwa kila kiumbe ana Tabia zake anazozipenda na kuzichukia.
Mie mwanamke mwenye tabia hii huwa tunaachana 10:00 asubuhi.
Tabia yenyewe ni hii ya mwanamke kufua chupi yake kwenye ndoo au kopo la kuogea, ama kwa hakika Nina uwezo Wa kuvumilia uchafu wowlte toka kwa mwanamke lakini sio uchafu huo.
Yaani mpenzio ndo wamuonea kinyaa hivyoHahahaaa hili nalo neno bibie..si bora mziroweke kwenye mitungi ya maji ya kunywaMbona baada ya kuoga na pichu kufuli wa ndoa inasuuzwa na kuwekewa maji ya kunywa?
Sakayo napingana na uliosema...sasa kichafu cha ajabu ni nini kwenye pichu..kama amuonea kinyaa mpenziwe ajitulize hata kujamiiana pia aone ni kinyaaSasa hapo kufulia kwenye ndoo ni uchafu upi mkuu, hapo kwenye kopo la kuogea angalau. Sababu kwanza kile kikopo ni kidogoo ila hapo kwenye ndoo mmmh!!!!
Mbona baada ya kuoga na pichu kufuliwa ndoo inasuzwa na kuwekewa maji ya kunywa?
Hahahaaa hili nalo neno bibie..si bora mziroweke kwenye mitungi ya maji ya kunywa
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE
Nyinyi ndiyo mnaokunywa Kilimanjaro water ham juu tulitokea kwenye maji ya mtungi, mna kunywa yakiisha ndiyo mnakutana na pichu ya aunty kumbe mwanae anaejifunza kutembea aliihifadhi mle.Mh! si kuna kuwa na vyombo maalum kwa mfano ndoo au beseni za kufulia/kuogea na ndoo ya kuwekea maji ya kunywa ambayo kazi yake ni hiyo moja ya kuhifadhia maji ya kunywa.
Umenikumbusha mbali sana ilikuwa Xmas tulikwenda kwa bibi long time kitambo enzi hizo hakuna bottled water maji mna kunywa kwenye mtungi. Aunt alikuwa na mtt
Nyinyi ndiyo mnaokunywa Kilimanjaro water ham juu tulitokea kwenye maji ya mtungi, mna kunywa yakiisha ndiyo mnakutana na pichu ya aunty kumbe mwanae anaejifunza kutembea aliihifadhi mle.
Umeua mkuu!Kuzama chumvini hamuoni uchafu ila hilo tu ndo uchafu lol
Wanaume ni ngumu sana kuwaelewa
invest what you are willing to lose
Nafikiri hujanielewa, kale kakopo kufulia ni wazi kwamba hiyo chupi haitokuwa safi kwa kiwango kama mfuaji hatokuwa makiniSakayo napingana na uliosema...sasa kichafu cha ajabu ni nini kwenye pichu..kama amuonea kinyaa mpenziwe ajitulize hata kujamiiana pia aone ni kinyaa
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa ulitaka afulie chupi yake kwenye sufuria la kupikia au?
Ungeweka wazi ttz ni nini akifulia humo au hutaki afue kbs au utumiaji was vifaa hivyo si sawa kwako tujifunze kutoka kwakoHapa ikumbukwe kuwa kila kiumbe ana Tabia zake anazozipenda na kuzichukia.
Mie mwanamke mwenye tabia hii huwa tunaachana 10:00 asubuhi.
Tabia yenyewe ni hii ya mwanamke kufua chupi yake kwenye ndoo au kopo la kuogea, ama kwa hakika Nina uwezo Wa kuvumilia uchafu wowlte toka kwa mwanamke lakini sio uchafu huo.