Aisee...Habari wana jamii.
Nauza Jaba la kuhifadhia maji lenye ujazo wa lita 60.
Nilikuwa nahifadhia maji kwa ajili ya matumizi ya ndani kama kunywa,kupikia nk.
Rangi nyeusi
Nimetumia muda mfupi.
Bei ni Tsh4,000
Napatikana Ubungo.
Nichek PM
Naomba nikununulie..Aisee...
Ahsante mwaya. Ila kulisafirisha toka Ubungo mpaka Bunju inaweza ikala kwangu mazima...Naomba nikununulie..
Weka picha mkuuHabari wana jamii.
Nauza Jaba la kuhifadhia maji lenye ujazo wa lita 60.
Nilikuwa nahifadhia maji kwa ajili ya matumizi ya ndani kama kunywa,kupikia nk.
Rangi nyeusi
Nimetumia muda mfupi.
Bei ni Tsh4,000
Napatikana Ubungo.
Nichek PM
Unaletewa ulipoAhsante mwaya. Ila kulisafirisha toka Ubungo mpaka Bunju inaweza ikala kwangu mazima...
Hapo utakuwa umefanya la maana... hakika ntafikiria kukuoa.Unaletewa ulipo
Karibu uwe mume wa tatu!Hapo utakuwa umefanya la maana... hakika ntafikiria kukuoa.
Haina tabu, kizuri mtu hula na nduguze...Karibu uwe mume wa tatu!