Recent content by thespecial one

  1. thespecial one

    JamiiForums Tanzania Majina 7 yanayopewa nafasi ya kumrithi ten Hag ndani ya Man United

    Hii Timu endapo itamfukuza ETH basi wasije rudia kumpa Timu kocha ambaye ndio anakua au anachomoza katika Career yake/ kocha ambaye hajawahi manage Timu kubwa ,wachezaji wakubwa na hajafeel big moments. Kwasasa wangetazama zaidi kumpa Timu Hans Flick au Diego Simione. Hawa wawili ni proven...
  2. thespecial one

    JamiiForums Tanzania HESLB: Batch One Out Now

    Sawa sawa boss
  3. thespecial one

    JamiiForums Tanzania HESLB: Batch One Out Now

    Kwangu inaonyesha hivi wakuu nini shida kwa anayefahamu tafadhali
  4. thespecial one

    JamiiForums Tanzania HESLB: Batch One Out Now

    Sipa mbona siooni hapo mkuu, Nisaidie tafadhali
  5. thespecial one

    JamiiForums Tanzania HESLB: Batch One Out Now

    Ujumbe huu unamaanisha nini wakuu? Msaada wenu
  6. thespecial one

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Radio Broadcast Technician

    Wakuu habari, Samahani kwa wanaolifahamu hili jambo la mshahara wa broadcast technician ni kiasi gani? Na je, broadcast technician anakuwa anafanya mambo yapi haswaa?
  7. thespecial one

    JamiiForums Tanzania Kazi za kuitwa kibarua kinapotokea zina maslahi mazuri? Hasa kwa mafundi

    Wakuu habari za leo, naombe kuuliza. Kuna kampuni ya ujenzi wa minara ya simu ilitoa nafasi ya kutrainee vijana waliosoma halafu itaanza kuwatumia kutokana na tenda zinavyokuja. But wao kama wao wakasema hiyo kampuni haiajiri bali itamtumia huyo mtu kutokana na kazi zinazotokea kwenye kampuni...
  8. thespecial one

    JamiiForums Tanzania Nitajie tarehe yako na ya mwenza wako nikwambie mpo vipi na hatima yenu, siri yake n.k

    Mimi mwanaume. Herufi ya jina langu ni M nimezaliwa 22/3 Mpenzi wangu ni L amezaliwa 7/4
  9. thespecial one

    JamiiForums Tanzania Natafuta ajira za telecommunication engineering

    Asante sana mkuu. Great experience[emoji1491][emoji1666][emoji1488]
  10. thespecial one

    JamiiForums Tanzania Natafuta ajira za telecommunication engineering

    Nipo dar es salaam mkuu
  11. thespecial one

    JamiiForums Tanzania Natafuta ajira za telecommunication engineering

    Ndio namaliza mwaka huu kaka
  12. thespecial one

    JamiiForums Tanzania Natafuta ajira za telecommunication engineering

    Wakuu nimesoma telecommunication engineering st Joseph University in Tanzania. Naomba msaada wa kupata nafasi za kazi au kufahamishwa makampuni ambayo yanatoa nafasi za internship na volunteering kwa sector hii ya telecommunication
  13. thespecial one

    JamiiForums Tanzania Tarehe ya kuzaliwa na utabiri wa kesho yako

    Nimeona boss shukrani[emoji1666][emoji1666][emoji1666]. Ninasubiri maajabu ya namba 9.
  14. thespecial one

    JamiiForums Tanzania Tarehe ya kuzaliwa na utabiri wa kesho yako

    Umeuweka wapi boss ...mbona hatuuoni
Back
Top Bottom