Recent content by TheFastest

  1. TheFastest

    Kigamboni ni sehemu nzuri Sana kuishi Dar es salaam kwa sasa

    Kigamboni ni kuzuri sana. Karibu na Posta, Karibu na Kariakoo, kuna beach zenye mvuto, upatikanaji rahisi wa fresh fish from the ocean na mambo mengine mengi kabisa.
  2. TheFastest

    Kwanini wanadamu tupo Duniani?

    وَمَا خَلَقۡتُ ٱلۡجِنَّ وَٱلۡإِنسَ إِلَّا لِیَعۡبُدُونِ﴿ ٥٦ ﴾ •Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi. Adh-Dhariyat, Ayah 56 Jibu hili hapa.
  3. TheFastest

    Ukitaka kuishi vizuri Dar es Salaam ishi Kigamboni

    umepapenda au ndio hivyo tena bora liende???!
  4. TheFastest

    Tanzania yajipanga kujenga setelaiti yake

    Ni kuunda satellite
  5. TheFastest

    Iweje misikiti ijengwe kwenye maeneo ya serikali?

    Una akili sana. Ukiamua kufikirisha akili majibu ya jambo hili ni mepesi sana.
  6. TheFastest

    Kwa Wataalam wa Sheria: Affidavit ni nini?

    Swali zuri. wenye ujuzi watoe msaada
  7. TheFastest

    Naomba kujuzwa hiki ni kifaa gani na kinafanya kazi gani

    Hajui, unaonaje kama angekaa kimya. Angejua vipi kuwa ni Charge adapter.?
  8. TheFastest

    Kiwanja sq 487 naweza jenga ghorofa na kubaki na parking ya kutosha?

    Unaweza. Everything need space and space is architecture. Tafuta architect( msanifu majengo) afanye kazi yake.
Back
Top Bottom