ZENITH
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 908
- 604
Habarini wakuu.
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna hizi gari ambazo tunazi consider kama ni gari za aina moja, kwamba zinafanana kwa kila kitu.
Naongelea Qashqai vs Dualis. Kuna tofauti yoyote kati ya hizi gari mbili? Kuna jamaa aliwahi kuniambia kwamba Nissan Qashqai ni bora zaidi ukiilinganisha na Nissan Dualis. Kwamba hata zile changamoto za gari kuungua ungua,kwa Qashqai haipo.
Mimi tofauti pekee niliyoiona ni Nissan Qashqai top speed yake inafika 240 km/h na Dualis inaishia 180km/h.Je kuna tofauti zipi significant kati ya hizi gari mbili?
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada. Kuna hizi gari ambazo tunazi consider kama ni gari za aina moja, kwamba zinafanana kwa kila kitu.
Naongelea Qashqai vs Dualis. Kuna tofauti yoyote kati ya hizi gari mbili? Kuna jamaa aliwahi kuniambia kwamba Nissan Qashqai ni bora zaidi ukiilinganisha na Nissan Dualis. Kwamba hata zile changamoto za gari kuungua ungua,kwa Qashqai haipo.
Mimi tofauti pekee niliyoiona ni Nissan Qashqai top speed yake inafika 240 km/h na Dualis inaishia 180km/h.Je kuna tofauti zipi significant kati ya hizi gari mbili?