brevars
Member
- Apr 15, 2023
- 49
- 71
Wadau, habari ya majukumu bila shaka muwazima wa afya, kama na wale wenye changamoto ya afya, niwaoe pole.
Bila kupoteza muda, twende kwenye mada husika. Hili neno "kila nafsi itaonja mauti," kiuhakika, halijaandikwa kwenye Biblia. Nadhani ni utashi tu wa mwadamu ameamua kutumia hili neno. Sasa turudi kwenye swali letu: Je, ni kweli kila nafsi itaonja mauti?
Kwenye kitabu cha Ufunuo, kinasema parapanda itakapolia, wafu waliolala watafufuliwa kwanza ndipo wataungana na hawa walioko hai kwa wakati huo, ndipo watapaa mawinguni kwenda kumlaki Bwana mawinguni. Sasa, kama tunasema kila nafsi itaonja mauti, na Biblia nayo inasema parapanda itakapolia itakuta kuna binadamu ambao wapo hai watasubiri kwanza wafu wafufuliwe ndipo waungane nao kwenda kumlaki Bwana mawinguni, je, kwanini hiyo kuna baadhi ya watu hawataonja mauti?
Bila kupoteza muda, twende kwenye mada husika. Hili neno "kila nafsi itaonja mauti," kiuhakika, halijaandikwa kwenye Biblia. Nadhani ni utashi tu wa mwadamu ameamua kutumia hili neno. Sasa turudi kwenye swali letu: Je, ni kweli kila nafsi itaonja mauti?
Kwenye kitabu cha Ufunuo, kinasema parapanda itakapolia, wafu waliolala watafufuliwa kwanza ndipo wataungana na hawa walioko hai kwa wakati huo, ndipo watapaa mawinguni kwenda kumlaki Bwana mawinguni. Sasa, kama tunasema kila nafsi itaonja mauti, na Biblia nayo inasema parapanda itakapolia itakuta kuna binadamu ambao wapo hai watasubiri kwanza wafu wafufuliwe ndipo waungane nao kwenda kumlaki Bwana mawinguni, je, kwanini hiyo kuna baadhi ya watu hawataonja mauti?