Kama ni kibada labda maeneo yaliyopimwa ila sio kwenye squata kwa wenyeji wazaramo.Tokea nijhamie huku sijutii Hali ya hewa nzuri Sana kumetulia kibada Hadi mjimwemaView attachment 2859429
Kama ni kibada labda maeneo yaliyopimwa ila sio kwenye squata kwa wenyeji wazaramo.
Ukijichanganya maeneo ya wazaramo na wapemba huko uswazi utaomba poo.
Kigamboni,mjimwema, kibada surveyed plots,mikwambe,twangoma,geza, dege,mbitu pako powa ila jitahidi usipakane na wazaramo ama wapemba labda nawewe uwe mlozi kama wao.
Kigamboni Joto kwa sasa ni 36 Centgd.Tokea nijhamie huku sijutii Hali ya hewa nzuri Sana kumetulia kibada Hadi mjimwemaView attachment 2859429
Hivi kila mzaramo na mpemba ni mchawi? Kwa hiyo huko usukumani, uhayani, uchagani nk hakuna wachawi?Kama ni kibada labda maeneo yaliyopimwa ila sio kwenye squata kwa wenyeji wazaramo.
Ukijichanganya maeneo ya wazaramo na wapemba huko uswazi utaomba poo.
Kigamboni,mjimwema, kibada surveyed plots,mikwambe,twangoma,geza, dege,mbitu pako powa ila jitahidi usipakane na wazaramo ama wapemba labda nawewe uwe mlozi kama wao.
Kigamboni ndo habari ya mjini kwa sasa wajanja wote tupo KigamboniTokea nijhamie huku sijutii Hali ya hewa nzuri Sana kumetulia kibada Hadi mjimwemaView attachment 2859429
Daraja.Kigamboni Joto kwa sasa ni 36 Centgd.
Kigamboni kama humiliki gari unavuka na Panton ni kipengele, tumekaa kila siku tunawaombea lisitokee baya kwenye zile ferry zenu.
Kigamboni ikitokea Tsunami mtazikwa Baharini. Wakati wa kimbunga JOBBO watu walizikimbia nyumba.
Kigamboni imezingirwa na Fuel Tanks siku zikilipuka maaafa yatakua kiama.
Ada ya kuvuka kwenda Mjini na kurudi kwa mwezi elfu 90.
Kwa kifupi Kigamboni pako kushoto na kuishi huko endapo unaanza maisha na unamiliki gari ni kimeo sana.
Lkn pia kuishi Kigamboni kwa wale wazee wa RISK CALCULATION ni HIGH RISK ZONE.
Kwaheri
NaamKigamboni ni kuzuri sana. Karibu na Posta, Karibu na Kariakoo, kuna beach zenye mvuto, upatikanaji rahisi wa fresh fish from the ocean na mambo mengine mengi kabisa.
Karibu huku ndo mtani kwangu piaTokea nijhamie huku sijutii Hali ya hewa nzuri Sana kumetulia kibada Hadi mjimwemaView attachment 2859429
Hapa naongea na watu wenye bizness na mihangaiko yao ya Mjini kila Uchao. Kwa wewe unayeshinda kwa Shemeji yako mguu juu ya meza na Rimoti ya DSTV mkononi hutonielewa Bw mdogo. Nenda kwenye mada za MMUDaraja.
Halafu Posta kila siku ukafuate nini?
Yaani wewe tangu utoke kwenu Tabora unadhani kila mtu kweny jiji hili lazima afike Posta kila siku. Kufuata nini?
Ngoja masikini waje wajae huko wauziane gongo wajenge kihorela ndio utapasifia tena wapi Mbezi Beach kumegeuka uswaziTokea nijhamie huku sijutii Hali ya hewa nzuri Sana kumetulia kibada Hadi mjimwemaView attachment 2859429