Mkuu
Kama una lodge iko kwenye lenta
Na una uwezo wa kukodi shamba la ekari 50
On top of that una sehemu ya kuishi na uwezo wa kushusha castle light za baridi + una afya njema...
WEWE UKO MBALI SANA KUZIDI ASILIMIA 95 YA WATANZANIA!
Kaa, tulia shusha castle zako bila wasiwasi wowote wee huna...
Hakuna mungu anaeitwa "MUNGU".
Neno "Mungu" ni cheo, ni sawa na kusema "Rais", "Waziri", "Balozi" n.k. Kama jinsi ambavyo kila rais ana jina, likewise kila mungu ana jina lake.
Mungu wako wewe anaweza akawa ni "miungu" kwa mtu mwingine, and vice versa. Kwahiyo unaposema tusimchanganye mungu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.