Hakuna mungu anaeitwa "MUNGU".
Neno "Mungu" ni cheo, ni sawa na kusema "Rais", "Waziri", "Balozi" n.k. Kama jinsi ambavyo kila rais ana jina, likewise kila mungu ana jina lake.
Mungu wako wewe anaweza akawa ni "miungu" kwa mtu mwingine, and vice versa. Kwahiyo unaposema tusimchanganye mungu...
Mbona mi naona kama ingekua ni jambo la maana zaidi kama tungeanza na viwanda vya pikipiki (ambazo zinahitajika na kutumiwa na watanzania wengi) kuliko ndege ambazo sijui ni watu wangapi hasa wanazihitaji hapa nchini?
Uko sahihi. Kitaalamu kujipiga risasi kidevuni ni njia ya hovyo sana ya kujiua maana kuna uwezekano mkubwa risasi ikapita bila kugusa chochote cha maana. Balaa lake ni kwamba utafumua mdomo, ulimi, meno, pua, macho na uso wote kitu kitakachopelekea uishi maisha ya maumivu makali for the rest of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.