Recent content by TheChoji

  1. TheChoji

    Kipi kinasababisha barabara za New York kuwa na hali mbaya?

    Wanashindwa nini kumwaga kifusi hapo au tuwapelekee wataalamu wetu wa kukarabati barabara 😀
  2. TheChoji

    Peter Msechu acha comedy kwenye afya yako, utakufa premature utuachie mkeo, watoto wako watateseka

    Nje ya mada Kitu nilichokuja kugundua.. Kijana (hasa mwanaume) ukianza kushika hela in your 20's, na ukakosa control hasa kwenye vyakula na mazoezi, ukafakamia mabia, manyama choma na makitimoto, by the time unagonga 30 -35 tayari una obesity. Usiposhtuka, ukifika 40 tayari una kisukari na...
  3. TheChoji

    Rihanna Hana makosa kuvaa nguo za Masista

    Mbona sioni hizo nguo za masista..?
  4. TheChoji

    Naomba ufafanuzi wa dawa aina ya amitriptyline

    Mwaka juzi nilizitumia sana hizo dawa wakati nikiwa nasumbuliwa na maumivu makali ya nerves. Nilikua nameza hizo pamoja na pregabalin na madawa kibao ya kutuliza maumivu. Zina usingizi balaa ila tatizo lake nilikuja kuliona baada ya kumaliza dozi. Usingizi nilikua nautafuta kwa tochi kuna siku...
  5. TheChoji

    Mke wa zamani wa Ricado Kaka afunguka sababu za kumsaliti mume wake, adai utakatifu wa Kaka kwake ulimboa

    Mwanamke akishajua yuko peke yake kwako anaanza kuwaza kwamba usikute hapa nimeingia choo cha kike, mbona hamna mtu mwingine anaelitaka hili jamaa? Ila akiona una mishemishe nyingi, mara vimeseji, simu, nk anajua yes.. hapa ndio penyewe!
  6. TheChoji

    Tuongee ukweli: Soko la pesa la Tanzania (UTT, Hisa N.k) haliwezi kukufanya ukawa tajiri kwa mtaji wako mdogo

    Mijadala yote ya aina hii huwa iko based kwenye ONE WRONG ASSUMPTION! Watu wengi sana wanaofanya biashara hua wana assume kwamba kwavile wao wameweza kufanya biashara na kufanikiwa, basi MTU YOYOTE anaweza nae kufanya biashara na kufanikiwa! Mfano mleta mada anaona kwavile yeye ameweza kukuza...
  7. TheChoji

    Mtu anapomtukana mwenzake anafaidi nini?

    Suala la kutukana ni malezi na makuzi ya mtu. Infact kuna watu wao kutamka matusi kwao ni kawaida tu hata katika maongezi ya kawaida. Mimi binafsi huwa siwezi kabisa kutamka maneno ya matusi hata iweje, na hua namshangaa mtu anaetamka matusi hasa mwanamke.
  8. TheChoji

    Dhana ya "kusaidiana" maisha na mwanamke katika utafutaji ni ya wanaume dhaifu na wajinga sana

    Ungemalizia kwa kutoa "recommendations" za nini kifanyike ungekua umetisha sana.
  9. TheChoji

    Wanaume mpewe nini mtulie?

    Lakini utafiti uliofanyika majuzi dar es salaam ulionyesha wanawake ndio wanaongoza kwa kuchepuka.
  10. TheChoji

    Nimeamini wanaume hawaaminiki

    Mimi hua naona ni heri mtu uujue uhalisia ili hata likitokea la kutokea usishangae saana, kuliko kudhani kwamba mtu ni malaika kumbe ni binadamu na ana mapungufu yake.
  11. TheChoji

    Nimeamini wanaume hawaaminiki

    Na huo ndio uanaume sasa. Hakuna mwanaume malaika, kila mmoja ana makandokando yake hata wewe unayo yakwako. Cha maana ni kuhakikisha mambo yako unayafanya bila kumuumiza mwenzio.
  12. TheChoji

    Mwanaume zingatia haya mambo madogo

    Mwanaume wa kweli hatumii Iphone macho matatu
  13. TheChoji

    Waliowahi kupotelewa na ndugu au mtu wa karibu mje mtupe experience

    Kanadeka balaa.. eti kanataka kukimbia nyumbani kisa sijui nani kakaudhi hata sio ndugu 😄😄😄
Back
Top Bottom