Recent content by TheChoji

  1. TheChoji

    Natafuta boyfriend umri kuanzia miaka 25 hadi 30

    Daah.. hiki kigezo kimenikosesha fursa 🤔
  2. TheChoji

    I think my heart is dead

    Hongera kwa kukua
  3. TheChoji

    Naomba ufafanuzi wa dawa aina ya amitriptyline

    Ndio mkuu. Japo hizi sio dawa za kuponya ni za kutuliza maumivu wakati unatumia za kuponya.
  4. TheChoji

    Fact: Muslims and Christians do not Worship the same God

    Hata wakristo pia kila dhehebu tuna mungu wetu.
  5. TheChoji

    Hivi kuna sehemu yenye kuvutia kwa kila kitu nchini zaidi ya Lushoto?

    Natamani kutembelea lushoto kwa mapumziko mafupi. Vipi hoteli/lodge nzuri zinapatikana? Na bei zikoje?
  6. TheChoji

    Ungekua ni wewe umeletewa hii kesi ya jamaa yangu na mkewe ungeisuluhisha vipi?

    Mi naona mngeachana tu. Kama mtu hata mavuzi yake mwenyewe hawezi kunyoa hapo kuna ndoa au ni gereza hilo.
  7. TheChoji

    Usimchanganye Mungu Na miungu mingine Utaanguka

    Hakuna mungu anaeitwa "MUNGU". Neno "Mungu" ni cheo, ni sawa na kusema "Rais", "Waziri", "Balozi" n.k. Kama jinsi ambavyo kila rais ana jina, likewise kila mungu ana jina lake. Mungu wako wewe anaweza akawa ni "miungu" kwa mtu mwingine, and vice versa. Kwahiyo unaposema tusimchanganye mungu...
  8. TheChoji

    Ndege zilizotengenezwa na Watanzania kuanzia mwanzo hadi mwisho

    Mbona mi naona kama ingekua ni jambo la maana zaidi kama tungeanza na viwanda vya pikipiki (ambazo zinahitajika na kutumiwa na watanzania wengi) kuliko ndege ambazo sijui ni watu wangapi hasa wanazihitaji hapa nchini?
  9. TheChoji

    Bernard Kavishe, Msajili wa Bodi ya Wahandisi (ERB) ajitwanga risasi

    Uko sahihi. Kitaalamu kujipiga risasi kidevuni ni njia ya hovyo sana ya kujiua maana kuna uwezekano mkubwa risasi ikapita bila kugusa chochote cha maana. Balaa lake ni kwamba utafumua mdomo, ulimi, meno, pua, macho na uso wote kitu kitakachopelekea uishi maisha ya maumivu makali for the rest of...
  10. TheChoji

    Tetesi: Ndoa ya Ali Kamwe yaota mbawa

    Ndio shida ya kuoa wake za watu
  11. TheChoji

    Happy birthday to me

    Sasa wakati wewe unaenda nae taratibu akitokea mwamba akachomeka muamala wa maana itakuaje..?
  12. TheChoji

    Happy birthday to me

    Mkuu wanawake wa siku hizi hawataki maneno mengi ni mwendo wa miamala tuu 😀
Back
Top Bottom