Nje ya mada
Kitu nilichokuja kugundua..
Kijana (hasa mwanaume) ukianza kushika hela in your 20's, na ukakosa control hasa kwenye vyakula na mazoezi, ukafakamia mabia, manyama choma na makitimoto, by the time unagonga 30 -35 tayari una obesity. Usiposhtuka, ukifika 40 tayari una kisukari na...
Mwaka juzi nilizitumia sana hizo dawa wakati nikiwa nasumbuliwa na maumivu makali ya nerves. Nilikua nameza hizo pamoja na pregabalin na madawa kibao ya kutuliza maumivu. Zina usingizi balaa ila tatizo lake nilikuja kuliona baada ya kumaliza dozi. Usingizi nilikua nautafuta kwa tochi kuna siku...
Mwanamke akishajua yuko peke yake kwako anaanza kuwaza kwamba usikute hapa nimeingia choo cha kike, mbona hamna mtu mwingine anaelitaka hili jamaa? Ila akiona una mishemishe nyingi, mara vimeseji, simu, nk anajua yes.. hapa ndio penyewe!
Mijadala yote ya aina hii huwa iko based kwenye ONE WRONG ASSUMPTION!
Watu wengi sana wanaofanya biashara hua wana assume kwamba kwavile wao wameweza kufanya biashara na kufanikiwa, basi MTU YOYOTE anaweza nae kufanya biashara na kufanikiwa! Mfano mleta mada anaona kwavile yeye ameweza kukuza...
Suala la kutukana ni malezi na makuzi ya mtu. Infact kuna watu wao kutamka matusi kwao ni kawaida tu hata katika maongezi ya kawaida. Mimi binafsi huwa siwezi kabisa kutamka maneno ya matusi hata iweje, na hua namshangaa mtu anaetamka matusi hasa mwanamke.
Mimi hua naona ni heri mtu uujue uhalisia ili hata likitokea la kutokea usishangae saana, kuliko kudhani kwamba mtu ni malaika kumbe ni binadamu na ana mapungufu yake.
Na huo ndio uanaume sasa. Hakuna mwanaume malaika, kila mmoja ana makandokando yake hata wewe unayo yakwako. Cha maana ni kuhakikisha mambo yako unayafanya bila kumuumiza mwenzio.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.