Recent content by TheChoji

  1. TheChoji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mi Kataa Ndoa. Ila kama ikikulazimu Kuoa, Hakikisha shemeji Anajua Kupika. Vingine vinavumilika, ila sio msosi m’baya!

    Upo sahihihi japo mambo yasiyovumilika pia ni mengi
  2. TheChoji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kijana unaetaka kuoa pita hapa usije kujutia badae

    Hiki ni nini..? All in all usioe au kuolewa na mtu kabla hujaishi nae ndani kama mwaka mkipika na kupakua. Utakuja kunishukuru.
  3. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Dunia ilikuwaje kabla ya uhai?

    Inaweza kuwa kweli, na pia inaweza isiwe kweli 100%
  4. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Kwanini sasa lakini

    Gari bovu huvutwa na gari zima
  5. TheChoji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukiwaona hawa wanawake njiani ni kama hawaombi hela yakanyage sasa!

    Zingatia bei elekezi, juu ya hapo unaibiwa.
  6. TheChoji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bro, timiza unayoyaweza , Dunia wala haipo Kasi ni walimwengu tu

    Mkuu Kama una lodge iko kwenye lenta Na una uwezo wa kukodi shamba la ekari 50 On top of that una sehemu ya kuishi na uwezo wa kushusha castle light za baridi + una afya njema... WEWE UKO MBALI SANA KUZIDI ASILIMIA 95 YA WATANZANIA! Kaa, tulia shusha castle zako bila wasiwasi wowote wee huna...
  7. TheChoji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta boyfriend umri kuanzia miaka 25 hadi 30

    Daah.. hiki kigezo kimenikosesha fursa 🤔
  8. TheChoji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania I think my heart is dead

    Hongera kwa kukua
  9. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi wa dawa aina ya amitriptyline

    Karibu
  10. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi wa dawa aina ya amitriptyline

    Ndio mkuu. Japo hizi sio dawa za kuponya ni za kutuliza maumivu wakati unatumia za kuponya.
  11. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Fact: Muslims and Christians do not Worship the same God

    Hata wakristo pia kila dhehebu tuna mungu wetu.
  12. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna sehemu yenye kuvutia kwa kila kitu nchini zaidi ya Lushoto?

    Natamani kutembelea lushoto kwa mapumziko mafupi. Vipi hoteli/lodge nzuri zinapatikana? Na bei zikoje?
  13. TheChoji

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ungekua ni wewe umeletewa hii kesi ya jamaa yangu na mkewe ungeisuluhisha vipi?

    Mi naona mngeachana tu. Kama mtu hata mavuzi yake mwenyewe hawezi kunyoa hapo kuna ndoa au ni gereza hilo.
  14. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Usimchanganye Mungu Na miungu mingine Utaanguka

    Hakuna mungu anaeitwa "MUNGU". Neno "Mungu" ni cheo, ni sawa na kusema "Rais", "Waziri", "Balozi" n.k. Kama jinsi ambavyo kila rais ana jina, likewise kila mungu ana jina lake. Mungu wako wewe anaweza akawa ni "miungu" kwa mtu mwingine, and vice versa. Kwahiyo unaposema tusimchanganye mungu...
Back
Top Bottom