Recent content by TheChoji

  1. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Hizi ni Sifa za wadada wanaoishi peke yao; Je wewe unaijua ipi

    Gen Z wengi siku hizi hawatoki nje si wakike wala wakiume sijajua tatizo ni nini?
  2. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Kajala: Natamani muda urudi nyuma nianze upya nilipokosea, ila nashukuru napumua

    "Fainali Uzeeni"
  3. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Ajambiana Kanisani Kuponya

    Sawa mkuu. Maana hata wakristo nao wanaambiwa hivyo hivyo. Sijajua ni kwanini?
  4. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Ajambiana Kanisani Kuponya

    Naomba kuuliza.. Mfano wakija kwenye uislamu wewe binafsi utapata faida gani?
  5. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Ajambiana Kanisani Kuponya

    Hilo kanisa lina wanaume?
  6. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Kumtetea Mungu ni kazi sana!

    Hapana, mungu ndio ameumbwa kwa mfano wa mwanadamu ndio maana wakampa macho, mdomo, mikono, miguu na tabia zote za mwanadamu kama hasira, kiburi, wivu, tamaa, kuchoka nk
  7. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Mapenzi yanavyo haribu afya ya mwili na akili

    Mimi ndio nimekuja kusema sasa maana naona dalili zote zinaonesha ni yeye
  8. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Wazee kuna jamaa yangu kaanzisha biashara, kila wiki anataka nimuungishe, imekuwa kero!

    Mimi kuna mmoja huyo hua analeta maziwa mtindi na madumu ya lita 5 ofisini uwe umeagiza au hukuagiza atakupigia simu na usipopokea anaacha dumu hapo ofisini utajua mwenyewe. Na baada ya hapo ni simu zisizo na idadi kudai malipo.
  9. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Kumtetea Mungu ni kazi sana!

    Mwanadamu ameumba vitu vingi sana kama mungu, shetani, muda, siku, tarehe, lugha nk
  10. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Kumtetea Mungu ni kazi sana!

    Mungu ana viungo vyote vya mwanadamu kama vile: Kichwa Macho Masikio Mdomo/Kinywa Ulimi Miguu Mikono Vidole Roho Moyo Akili Pia ana sifa zote za mwanadamu kama: Mawazo Hasira Wivu Anajuta Anafurahi Anapumzika Anatembea Hajui baadhi ya vitu Anakula njama Ana mipango Ana kinyongo Anachoka...
  11. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu nimekuja tena kwenu kuomba ushauri wenu kwa habari ya kusalitiwa/Cheating

    Naona baadhi ya akina mama hili suala la kuchiti mnalipa u serious usiostahili.
  12. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Wakongwe wamerudi kwenye gemu, Kizazi Kipya mmeona jinsi age go tulivyokuwa tunainjoi mziki mzuri?

    Hawa wakongwe wakitembea na huu upepo watapiga hela nyingi sana. Aftaroo watu wengi wa kizazi cha 1980 -2000 ndio watu wenye hela kwa sasa na ndio wanapenda hizo nyimbo za miaka hiyo.
  13. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Sisi Sio wa Kuishi, Kula na Kuzaa Tu Sisi Ni Watu, Wanyama Wenye Busara

    Nafikiri binadamu ni kati ya viumbe useless kabisa kuwahi kutokea hapa duniani. Tangu tuwepo hapa kwa miaka hiyo milioni 2, ni kipi cha maana tulichofanikiwa zaidi ya kuuana, kuharibu mazingira, kuangamiza "species" nyingine n.k?
  14. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Nimeipenda sana hii ramani ya hii nyumba

    Ramani nzuri ila mimi binafsi sipendi sitting room ikae katikati ya nyumba. Sitting room inapendeza iwe pembeni ili iwe na angalau madirisha pande 2 kama sio 3.
Back
Top Bottom