Recent content by TheChoji

  1. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Sisi Sio wa Kuishi, Kula na Kuzaa Tu Sisi Ni Watu, Wanyama Wenye Busara

    Nafikiri binadamu ni kati ya viumbe useless kabisa kuwahi kutokea hapa duniani. Tangu tuwepo hapa kwa miaka hiyo milioni 2, ni kipi cha maana tulichofanikiwa zaidi ya kuuana, kuharibu mazingira, kuangamiza "species" nyingine n.k?
  2. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Nimeipenda sana hii ramani ya hii nyumba

    Ramani nzuri ila mimi binafsi sipendi sitting room ikae katikati ya nyumba. Sitting room inapendeza iwe pembeni ili iwe na angalau madirisha pande 2 kama sio 3.
  3. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Chifu utajuaje kama malkia wako umemridhisha na wewe malkia utajuaje kama chifu ameridhika?

    Ni kweli mkuu hilo nimejifunza kwa uchungu mkubwa sana 😓
  4. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Chifu utajuaje kama malkia wako umemridhisha na wewe malkia utajuaje kama chifu ameridhika?

    Exactly. Wanaume wengi hua tunadhani tunawaridhisha wanawake zetu kumbe ukweli ni tofauti kabisa.
  5. TheChoji

    JamiiForums Tanzania HOJA Upimaji wa uzito wa nyama mabuchani unanipa mashaka kila siku

    Bora mizani nyama unapewa unaiona. Sheli unawekewa mafuta huyaoni wala hujui yanaingia kiasi gani we unaamini tu kwamba umewekewa ya afu thelasini. 😐
  6. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Chifu utajuaje kama malkia wako umemridhisha na wewe malkia utajuaje kama chifu ameridhika?

    Nilichokigundua mimi kwa uzoefu wangu, mwanamke mkiwa mnafanya akaanza kupiga makelele na kusema ANAKOJOA, wewe tambua kabisa huyo HAKOJOI wala nini..!! Yaani ata hajakaribia.
  7. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Chifu utajuaje kama malkia wako umemridhisha na wewe malkia utajuaje kama chifu ameridhika?

    Nilikuaga nampiga kifo cha mende kawaida maana ana kamwili, of course akawa anajidai kuridhika. Ila baada ya kuufumua mfumo mzima na kuusuka upya ndio nikagundua kumbe hamna kitu nilikua nafanya 🙄
  8. TheChoji

    JamiiForums Tanzania iPhone 18 Pro Max na Ultra Yaja! Kaa tayari kwa sept 9.

    Cha msingi tu ni kuwa apple bado wananunua OLED screen, RAM n.k kutoka Samsung.
  9. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Chifu utajuaje kama malkia wako umemridhisha na wewe malkia utajuaje kama chifu ameridhika?

    Juzi kuna mchepuko wangu mmoja ndio nimegundua kumbe sikuwahi kuufikisha kileleni. Hili nililigundua baada ya kumbadilishia kabisa style za ufanyaji na kufanikiwa kumfikisha. Vituko alivyovifanya wakati wa kufika vilinifanya nijue kumbe huyu siku zote alikuaga hafiki maana hajawahi kufanya...
  10. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Kwanini unamng'ang'ania mpenzi aliyekuacha?

    Invyolata mbona hata mimi nimepiga pale? Najua kilichokuchanganya zaidi ni ile rangi tu 😀
  11. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Mawazo ya matajiri Vs mawazo ya masikini

    "Kumbuka umasikini na utajiri zote hali" - Prof. Jay
  12. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Ukiwa single unaenjoy sana!!!

    Maisha sindio hayo? Kuna nini tena?😀😀
  13. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Nyimbo za Injili ambazo zinashusha Wingu

    Na kwa sasa asilimia kubwa ya nyimbo za injili ni AI
  14. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Maneno ya mwisho ya mwanajeshi mdogo wa Marekani, Angel Rampesard, kabla ya kifo chake

    Vita ni kati ya vitu vya kipuuzi sana ambavyo binadamu hua tunafanya
  15. TheChoji

    JamiiForums Tanzania Nyimbo za Injili ambazo zinashusha Wingu

    Tumeuona mkono wako bwana ni bonge moja la sebene 😀
Back
Top Bottom