Hapana, mungu ndio ameumbwa kwa mfano wa mwanadamu ndio maana wakampa macho, mdomo, mikono, miguu na tabia zote za mwanadamu kama hasira, kiburi, wivu, tamaa, kuchoka nk
Mimi kuna mmoja huyo hua analeta maziwa mtindi na madumu ya lita 5 ofisini uwe umeagiza au hukuagiza atakupigia simu na usipopokea anaacha dumu hapo ofisini utajua mwenyewe. Na baada ya hapo ni simu zisizo na idadi kudai malipo.
Mungu ana viungo vyote vya mwanadamu kama vile:
Kichwa
Macho
Masikio
Mdomo/Kinywa
Ulimi
Miguu
Mikono
Vidole
Roho
Moyo
Akili
Pia ana sifa zote za mwanadamu kama:
Mawazo
Hasira
Wivu
Anajuta
Anafurahi
Anapumzika
Anatembea
Hajui baadhi ya vitu
Anakula njama
Ana mipango
Ana kinyongo
Anachoka...
Hawa wakongwe wakitembea na huu upepo watapiga hela nyingi sana. Aftaroo watu wengi wa kizazi cha 1980 -2000 ndio watu wenye hela kwa sasa na ndio wanapenda hizo nyimbo za miaka hiyo.
Nafikiri binadamu ni kati ya viumbe useless kabisa kuwahi kutokea hapa duniani. Tangu tuwepo hapa kwa miaka hiyo milioni 2, ni kipi cha maana tulichofanikiwa zaidi ya kuuana, kuharibu mazingira, kuangamiza "species" nyingine n.k?
Ramani nzuri ila mimi binafsi sipendi sitting room ikae katikati ya nyumba. Sitting room inapendeza iwe pembeni ili iwe na angalau madirisha pande 2 kama sio 3.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.