Mawazo ya matajiri Vs mawazo ya masikini

Mawazo ya matajiri Vs mawazo ya masikini

Duniani kuna mitazamo Ya Mtu Mmoja mmoja,Na Kuna Mawazo Jumuishi ya Kikundi Fulani cha Watu au Tabaka Fulani la Watu.

Haya ni Mawazo ya Maskini Vs Mawazo ya Matajiri

MASKINI

1.Matajiri Ni Mafisadi
2.Matajiri Ni Waenda kwa Waganga
3.Matajiri Ni Freemason
4.Matajiri Wameachiwa Urithi
5.Matajiri Walidhulumu mali za Watu.

MATAJIRI

1.Maskini Ni Wavivu
2.Maskini Wanalalamika Sana
3.Maskini Wameridhika
4.Maskini Wanapuuza Fursa
5.Maskini Wanasubiri Kusaidiwa
6.Maskini Ni Wajinga.

Mtizamo Hii ya Matabaka Haya mawili ni ya kila Kundi Kuhalalisha lilipo.
Fact
 
Duniani kuna mitazamo Ya Mtu Mmoja mmoja,Na Kuna Mawazo Jumuishi ya Kikundi Fulani cha Watu au Tabaka Fulani la Watu.

Haya ni Mawazo ya Maskini Vs Mawazo ya Matajiri

MASKINI

1.Matajiri Ni Mafisadi
2.Matajiri Ni Waenda kwa Waganga
3.Matajiri Ni Freemason
4.Matajiri Wameachiwa Urithi
5.Matajiri Walidhulumu mali za Watu.

MATAJIRI

1.Maskini Ni Wavivu
2.Maskini Wanalalamika Sana
3.Maskini Wameridhika
4.Maskini Wanapuuza Fursa
5.Maskini Wanasubiri Kusaidiwa
6.Maskini Ni Wajinga.

Mtizamo Hii ya Matabaka Haya mawili ni ya kila Kundi Kuhalalisha lilipo.
Mbona hujaweka kundi lisiloegemea upande wowote 😜
 
20k miaka ya 1990 sio sawa na ta leo.
Ila kweli Mkuu Nakumbuka Utotoni ukiwa Na Sh 20 Ni Taita ukiingia kwa Wachoma vitumbua na vibalagala Unakaa kibosi,

Kama hio Ni Sh 20 tu Je 20000 Enzi hizo itakuaje? Huenda leo Ni laki kadhaa
 
Back
Top Bottom