Recent content by The Wolf

  1. The Wolf

    JamiiForums Tanzania SGR ifungamanishwe na uchumi wa inakopita, abiria wabebe vifurushi

    mawazo ya kijinga kabisa
  2. The Wolf

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kumuwin mwanamke yeyote chukua code hizi

    Eenhe mapema tuu
  3. The Wolf

    JamiiForums Tanzania Ukitaka kumuwin mwanamke yeyote chukua code hizi

    Sa hivi nina kiasi fulani nataka nikut*mbe au lugha yoyote nzuri utakayoona inafaa nenda straight mademu wenyewe wanawinda siku hizi, nyege zimekuwa nyingi sanaaa
  4. The Wolf

    JamiiForums Tanzania Haika Lawere: Wanawake ficheni Mali Zenu, Wanaume Ni Matapeli!

    Ukitegemea pia nae kalelewa muda mwingi na mama yake bila baba wanaiga tabia za ovyo ovyo
  5. The Wolf

    JamiiForums Tanzania Nilimpa namba kwa huruma, kumbe ana heka heka

    mpeleke kwako mgawane laana
  6. The Wolf

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Wafanyakazi wa Joshmal Hotel (Arusha) hatujalipwa mishahara wala kuwekewa NSSF kwa muda mrefu

    kwa NSSF walivyo wa moto sasa hivi walitakiwa kuwa mahakamani kwa sababu kuna Task Force inayozunguka kutafuta waajiri kama hawa, Nendeni Idara ya kazi Arusha mpeleke kilio chenu na vile vile piteni kwa mkuu wa wilaya, mkifukuzwa kazi mnaenda kumalizana nae CMA
  7. The Wolf

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    usilolijua ni kwamba, hili linamuharibia sana kuanzia kwa familia yake, ndugu, jamaa, wafanyakazi wenzake, business patners, marafiki na jamii kwa ujumla inamuangalia kwa jicho ambalo siyo la kawaida. Itamuathiri sana embu fikiria mke na watoto wake wanaumia vipi kusikia kichwa cha familia...
  8. The Wolf

    JamiiForums Tanzania Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

    Si alipata backup ya kuteuliwa?
  9. The Wolf

    JamiiForums Tanzania Wakati nauza gari langu la kwanza kumiliki nilijisikia vibaya sana

    baada ya kumkabidhi gari, nikapanda dala dala lwenda home roho iliniuma sana, nikiwa kwenye maumivu muda huo huo jamaa akapiga simu anauliza sijui nini kiko wapi, mbona kuna mkwaruzo, nilimtukana balaa nikamwambia arudishe gari langu. Jamaa akaomba msamaha akakata simu. Hakuwahi kunitafuta tena...
  10. The Wolf

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu: CAF African Nations Championship (CHAN) 2024: Morroco yawa mabingwa

    Mapema kabisaaa
  11. The Wolf

    JamiiForums Tanzania Anayejitambua miaka 30 - 50, njoo tuyajenge

    Swali la msingi kabisa umekataa lisiulizwe, status yako ya mahusiano kujulikana ni muhimu. Otherwise toa hiko kipengele umeoa/umeolewa kwenye taarifa
  12. The Wolf

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole ni mwana CCM wa itifaki na maslahi - Rostam Aziz

    Pole pole kapiga kwenye chemba ya moyo
Back
Top Bottom