Recent content by The Wolf

  1. The Wolf

    JamiiForums Tanzania Mafwele azuiwa kuingia Marekani. Ahusishwa na Utekaji, ukiukwaji wa haki za binadamu

    usilolijua ni kwamba, hili linamuharibia sana kuanzia kwa familia yake, ndugu, jamaa, wafanyakazi wenzake, business patners, marafiki na jamii kwa ujumla inamuangalia kwa jicho ambalo siyo la kawaida. Itamuathiri sana embu fikiria mke na watoto wake wanaumia vipi kusikia kichwa cha familia...
  2. The Wolf

    JamiiForums Tanzania Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

    Si alipata backup ya kuteuliwa?
  3. The Wolf

    JamiiForums Tanzania Wakati nauza gari langu la kwanza kumiliki nilijisikia vibaya sana

    baada ya kumkabidhi gari, nikapanda dala dala lwenda home roho iliniuma sana, nikiwa kwenye maumivu muda huo huo jamaa akapiga simu anauliza sijui nini kiko wapi, mbona kuna mkwaruzo, nilimtukana balaa nikamwambia arudishe gari langu. Jamaa akaomba msamaha akakata simu. Hakuwahi kunitafuta tena...
  4. The Wolf

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalumu: CAF African Nations Championship (CHAN) 2024: Morroco yawa mabingwa

    Mapema kabisaaa
  5. The Wolf

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Anayejitambua miaka 30 - 50, njoo tuyajenge

    Swali la msingi kabisa umekataa lisiulizwe, status yako ya mahusiano kujulikana ni muhimu. Otherwise toa hiko kipengele umeoa/umeolewa kwenye taarifa
  6. The Wolf

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole ni mwana CCM wa itifaki na maslahi - Rostam Aziz

    Pole pole kapiga kwenye chemba ya moyo
  7. The Wolf

    JamiiForums Tanzania Polepole, Ubalozi kwaheri. Huwezi kukata tawi la mti uliokalia. Shuka kwanza chini, simama kwa pembeni ndipo upige hilo shoka moja Mbuyu chini

    Cheo, mali, fedha siyo kila kitu...pascal unatakiwa ulijue hilo. Lakini utambue pia, kila mmoja wetu ana haki yake ya kusema...ila tuu asikiuke sheria za nchi, muachebpole pole ajieleze, atoe ya moyoni, kisha tujirekebishe, kqma hana point tunapuuza tuu
  8. The Wolf

    JamiiForums Tanzania Watanzania wameyakataa kabisa majiko ya umeme, hivi ni ujinga au ushamba?

    Mkuu bado unachemsha maji?tafuta water purifier
  9. The Wolf

    JamiiForums Tanzania Wakuu tuwe makini lock milango kabla ya kuanza kuendesha gari

    Child lock, ila hata ukiwa na gari la miaka 20 iliyopita ukifikisha 25km/hr milango lazima ijiloki, ikikuwa gar gani hiyo?
  10. The Wolf

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Una deal vipi na matengenezo ya nyumbani kwako usiyoweza kuyamaliza?

    Daaah, natafuta hela, nalipa bili, nanunua mazaga, nakata ukoka na miti na kupunguza maua, naua nyoka na wadudu wote, napuliza dawa kwenye mimea na bustan ya mboga, natoa adhabu kwa watoto, ufundi umeme, bomba na mapazia kutoa na kurudisha kila baada ya wiki 2, naosha gari na kazi ya ulinzi hata...
  11. The Wolf

    JamiiForums Tanzania Simba yatozwa milion 3 kwa imani za kishirikina kwenye mchezo dhidi ya Yanga ilipofungwa 2-0

    Bora Yanga mchawi wao yupo "very" simba mnatapeliwa na mwekezaji, wachezaji, uongozi hadi waganga...kuna kitu hakipo sawa hadi mzee saidi anaisifia yanga
Back
Top Bottom