Recent content by The Wolf

  1. The Wolf

    Tutampoteza Nikki wa Pili akiachwa na huyu mwanamke

    Si alipata backup ya kuteuliwa?
  2. The Wolf

    Wakati nauza gari langu la kwanza kumiliki nilijisikia vibaya sana

    baada ya kumkabidhi gari, nikapanda dala dala lwenda home roho iliniuma sana, nikiwa kwenye maumivu muda huo huo jamaa akapiga simu anauliza sijui nini kiko wapi, mbona kuna mkwaruzo, nilimtukana balaa nikamwambia arudishe gari langu. Jamaa akaomba msamaha akakata simu. Hakuwahi kunitafuta tena...
  3. The Wolf

    Anayejitambua miaka 30 - 50, njoo tuyajenge

    Swali la msingi kabisa umekataa lisiulizwe, status yako ya mahusiano kujulikana ni muhimu. Otherwise toa hiko kipengele umeoa/umeolewa kwenye taarifa
  4. The Wolf

    GE2025 Polepole ni mwana CCM wa itifaki na maslahi - Rostam Aziz

    Pole pole kapiga kwenye chemba ya moyo
  5. The Wolf

    Polepole, Ubalozi kwaheri. Huwezi kukata tawi la mti uliokalia. Shuka kwanza chini, simama kwa pembeni ndipo upige hilo shoka moja Mbuyu chini

    Cheo, mali, fedha siyo kila kitu...pascal unatakiwa ulijue hilo. Lakini utambue pia, kila mmoja wetu ana haki yake ya kusema...ila tuu asikiuke sheria za nchi, muachebpole pole ajieleze, atoe ya moyoni, kisha tujirekebishe, kqma hana point tunapuuza tuu
  6. The Wolf

    Watanzania wameyakataa kabisa majiko ya umeme, hivi ni ujinga au ushamba?

    Mkuu bado unachemsha maji?tafuta water purifier
  7. The Wolf

    Wakuu tuwe makini lock milango kabla ya kuanza kuendesha gari

    Child lock, ila hata ukiwa na gari la miaka 20 iliyopita ukifikisha 25km/hr milango lazima ijiloki, ikikuwa gar gani hiyo?
  8. The Wolf

    Una deal vipi na matengenezo ya nyumbani kwako usiyoweza kuyamaliza?

    Daaah, natafuta hela, nalipa bili, nanunua mazaga, nakata ukoka na miti na kupunguza maua, naua nyoka na wadudu wote, napuliza dawa kwenye mimea na bustan ya mboga, natoa adhabu kwa watoto, ufundi umeme, bomba na mapazia kutoa na kurudisha kila baada ya wiki 2, naosha gari na kazi ya ulinzi hata...
  9. The Wolf

    Simba yatozwa milion 3 kwa imani za kishirikina kwenye mchezo dhidi ya Yanga ilipofungwa 2-0

    Bora Yanga mchawi wao yupo "very" simba mnatapeliwa na mwekezaji, wachezaji, uongozi hadi waganga...kuna kitu hakipo sawa hadi mzee saidi anaisifia yanga
  10. The Wolf

    Simba yatozwa milion 3 kwa imani za kishirikina kwenye mchezo dhidi ya Yanga ilipofungwa 2-0

    Hela nyingi na ushirikina vinaenda sambamba, Simba acheni mambo ya ushirikina, hayawasaidii, ona sasa mnaloga na bado mnapigwa, si ujinga huu, naona mbadili mganga, badala ya kuwaloga yanga anawaloga nyie
  11. The Wolf

    DOKEZO Nazungushwa kupata Mafao baada ya Mkataba wa kazi kumalizika, naambiwa niliacha kazi

    Muajiri amekunyanyasa wapi?je michango yako alipeleka? Kinachokufunga wewe ni kiandika barua ya kutoendelea na mkataba, ina maana hauna nia ya kuendelea na kazi hivyo utakuwa na shughuli nyingine ya kukuingizia kipato, hivyo hauwezi kupewa fao la kukuso ajira ungesubiri uandikiwe barua ya...
Back
Top Bottom