Sa hivi nina kiasi fulani nataka nikut*mbe au lugha yoyote nzuri utakayoona inafaa nenda straight mademu wenyewe wanawinda siku hizi, nyege zimekuwa nyingi sanaaa
kwa NSSF walivyo wa moto sasa hivi walitakiwa kuwa mahakamani kwa sababu kuna Task Force inayozunguka kutafuta waajiri kama hawa, Nendeni Idara ya kazi Arusha mpeleke kilio chenu na vile vile piteni kwa mkuu wa wilaya, mkifukuzwa kazi mnaenda kumalizana nae CMA
usilolijua ni kwamba, hili linamuharibia sana kuanzia kwa familia yake, ndugu, jamaa, wafanyakazi wenzake, business patners, marafiki na jamii kwa ujumla inamuangalia kwa jicho ambalo siyo la kawaida. Itamuathiri sana embu fikiria mke na watoto wake wanaumia vipi kusikia kichwa cha familia...
baada ya kumkabidhi gari, nikapanda dala dala lwenda home roho iliniuma sana, nikiwa kwenye maumivu muda huo huo jamaa akapiga simu anauliza sijui nini kiko wapi, mbona kuna mkwaruzo, nilimtukana balaa nikamwambia arudishe gari langu. Jamaa akaomba msamaha akakata simu. Hakuwahi kunitafuta tena...
Cheo, mali, fedha siyo kila kitu...pascal unatakiwa ulijue hilo. Lakini utambue pia, kila mmoja wetu ana haki yake ya kusema...ila tuu asikiuke sheria za nchi, muachebpole pole ajieleze, atoe ya moyoni, kisha tujirekebishe, kqma hana point tunapuuza tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.