Daaah, natafuta hela, nalipa bili, nanunua mazaga, nakata ukoka na miti na kupunguza maua, naua nyoka na wadudu wote, napuliza dawa kwenye mimea na bustan ya mboga, natoa adhabu kwa watoto, ufundi umeme, bomba na mapazia kutoa na kurudisha kila baada ya wiki 2, naosha gari na kazi ya ulinzi hata...