We jamaa ulichoandika kwa kiasi kikubwa si sahihi kwa ulivyosema dunia nzima! Lau ungesema kwa Bongo labda maana sijui mfumo wa Bongo Ukoje.
Kwa US ( Army) na hii sijawataja Marine, Airforce wala Navy tupo tofauti kiasi.
Ila ktk matawi yote kuna kitu tuna kiita MOS ( Military Occupation...
Kama moyo wako wa barafu, jitie ujinga life liende, kama we ni Marioo tulia tu huna namna.
Ila either humtoshelezi au umeoa kicheche.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kimsingi kama hujaiona vita wala kuisogelea si kitu cha kushabikia, madhara ya vita ambayo baadhi hapa wanaonekana kuifurahia hayatatokea US kamwe.
Tutakaopata madhara ni sisi tusio na uwezo wa kujilinda nayo.
Imani za kidini ama ushabiki wa kijuweni hautatoa mwangaza ktk hii mada zaidi...
Tatizo hujui unachoandika! NK ni 3rd WC wanachobumbua leo America inacho more than 50yrs.
Jiulize kwanini Russia kakaa kimya humsikii sana akivamia nchi za East Europe
Sent using Jamii Forums mobile app
Muda wa kazi ni sasa! Under Maddog NK itapotezwa na hamtaamimi maana historia hii itadumu karne na karne! Mnaomfikiria Trump na kusahau US military's zina mifumo tofauti mnakosea.
Dunia itajifunza funzo jipya soon
Sent using Jamii Forums mobile app
Daa nyie raia ukisoma mawazo yenu mnaongea ujinga msio ujua! Hamjui madhara ya Nuke wala hamuijui US iko strong kiasi gani.
NKorea inaweza kupotezwa within an hour! Ila haitaadhirika NK tu, madhara yake ni ya wengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pasco# umeongea mengi lakini amini me nipo ktk jeshi la dunia tumekuwa Afghan, Iraq na hapo Africa.
Unachotetea si ubinadamu wala utu, pole ya makaratasini haibebei mguso ndo maana hutashangaa ukiona kina Obama, Bush wamekuwa na desturi za kufika pale tatizo lilipotokea.
Utakumbuka kisa cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.