Jabman
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 1,005
- 1,339
Marekani anatumia maneno ili kuogopesha wananchi was N. Korea. Vitisho hivi vinasababisha watu na serikali wasizalishe ili nchi ianguke kiuchumi au wananchi waandamane kwa ukali wa maisha.
Hii ni mbinu ambayo anaitumia USA sana kwa maadui wake ambao anawaogopa kupambana kwa silaha za moto.
Kitendo cha Kim kuwaondoa wakazi Pyongyang ulikuwa no ushindi kwa mmarekani.
Kiduku ni noma sana, USA anapiga goti
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni mbinu ambayo anaitumia USA sana kwa maadui wake ambao anawaogopa kupambana kwa silaha za moto.
Kitendo cha Kim kuwaondoa wakazi Pyongyang ulikuwa no ushindi kwa mmarekani.
Kiduku ni noma sana, USA anapiga goti
Sent using Jamii Forums mobile app