Nimfanye nini mke wangu huyu?

Nimfanye nini mke wangu huyu?

Fanya hivi bro, mvizie akiwa kalala ifunue papuchi yake uiulize kama imeshawahi kukutana na kitu kingine zaidi ya cha kwako,utumie sauti ya chini sana kuongea nayo ili mwenye papuchi asije akaamka akakusikia unajadiliana na papuchi lake bila kumshirikisha.Papuchi kama inajua ukweli itakuambia tu. Ukishaupata ukweli ifunike papuchi yake na uishukuru.

Aisee ushauri wa mwaka
 
Mruhusu hyo weekend atoke then akinyanyua mguu na wewe uwepo nyuma yake unamfatilia
Ila utakayoyakuta usje sema JF wamekuponza.
 
Ni aibu kubwa sana kwa kweli. kama kuna tatizo kama hilo katika mahusiano unaomba msaada? Huo ni udhaifu wa hali ya juu sana. Na kama huwezi kufanya maamuzi sahihi katika mahusiano yako usitegemee kufanya maamuzi sahihi sehemu zingine kwenye maisha yako. Hata familia yako itakuwia vigumu kuilea kwenye maadili stahiki.
Hadi ufike huku ni wazi mwanamke wako kakutawala, hauna say yoyote. Lakini kwa vile umeomba ushauri basi mimi ninakushauri uache kuita watu wake zako, huyo uliyenae mwite mke wenu.
hamjaelewa hukonughaibuni wao wanakua chini ya mwanamke na huenda anaefanya kazi ni huyo mwanamke ndo anamhudumia yeye kila kitu na hana usemi juu ya hilo so madhal unaona hakuna njia we tulia tu la una njia toka katafute maisha kungine na usipende kuwa chini ya mwanamke tena tafuta vyako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanamke anayejua umefahamu na badobanaendelea hiyo ni ujiulize haswaaaa... namba moja kakukosea heshima na alivyokoloea inaelekea hata mpira hatumii ni atakuletea magonjwa tu.. yaani atatenda na wengine.. kumyoosha mfukuze aende akafungue ubongo wake.. anakudharau sana kwa kukosa hata uoga duh.. Ila mwache aende usijali akirudi uwe umeweka vitu vyake nje na usifungue hata akiondoka usijali kuwa mwanaume. Jinga sana hilo kwanza kwa kutenda na wa kazini na kuzidi kukudharau.. muache aende kaa kama mjinga.. huyo hata vyooni kazini atakuwa anampa.. akirudi mizigo nje ageuzie huko.
 
Sitaki kuonekana nakukejeli ila umenikumbusha hadithi za Abunuwasi na wale watu wavivu watatu.

Nimesahau vyema visa vyao ila wewe unaweza kuwa mshindi wa pili hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe ulijifanya lofa? Sijui huu uvumilivu mnautoa wapi?


bado hajamshika na kidhibiti!mie nahis hapo mwanamke bado anatongozwa tu! atulie apat uthibitisho! uvumilivu ni muhimu! na pia yeye ajiangalie ana udhaifu gan! hawachpukag bila sabab hao!(kama anamini mkewe alimpenda kweli)
 
bado hajamshika na kidhibiti!mie nahis hapo mwanamke bado anatongozwa tu! atulie apat uthibitisho! uvumilivu ni muhimu! na pia yeye ajiangalie ana udhaifu gan! hawachpukag bila sabab hao!(kama anamini mkewe alimpenda kweli)

ha ha ha ... dont personalize wewe binti ...
 
Fanya hivi bro, mvizie akiwa kalala ifunue papuchi yake uiulize kama imeshawahi kukutana na kitu kingine zaidi ya cha kwako,utumie sauti ya chini sana kuongea nayo ili mwenye papuchi asije akaamka akakusikia unajadiliana na papuchi lake bila kumshirikisha.Papuchi kama inajua ukweli itakuambia tu. Ukishaupata ukweli ifunike papuchi yake na uishukuru.
kuwa siriasi jamii forum si mahala pa hivyoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
muache akuendeshe ila siku ukichoka mateso na usaliti najua tu tutapata mrejesho.
 
Nimfanye nini mke wangu huyu?

Naombeni ushauri kwani nimegunduamke wangu amepata mchepuko kiasi kwamba ameanza kuwa na katabia ka udanganyifu.
Nimemchunguza sana ktk cmu yke nikakuta msg anazoandikiana na mchepuko wake tena ni jamaa wanafanya kazi pamoja kama jana ameniaga kama atatoka week end hii ktk sherehe za kazi yao lkn nimegundua kama anampango wa kukutana na jamaa wala hakuna sherehe zaa kazini.

Niliwahi siku moja kumuuliza vp huyu jamaa naona anakufanya uko busy sana ni kitu gani kinaendelea kati yenu?Lakini alinikatalia nakusema ni just friend kikakazi pia niliwahi kuona msg jamaa aliwamuandikia nikaziforward kwangu lkn yy nikakuta amenipekua ktk cmu yangu na kuzifuta zote na mm sikumuuliza lolote mpaka leo hii nimejifanya lofa.

Naombeni ushauri wadau nimfanye nini mwanamke huyu au huyo bwana?maana namba zake za simu ninazo
Nasubiri ushauri wenu
We ni mzembe 100% yaani ushahidi wotr huo bado tu unalialia . Fukuza akake kwa huyo jamaa. We mwanaume bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simama kama mwanaume. Chukua cmu ya mkeo kaa nayo siku nzima. Yeye asitoke kwenda popote wala asiwe na cmu nyingine. Mshhinde wote home asbh hadi ucku. Asitoke kwenda popote hata dukan. Kitachotokea chukua hatua sahihi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujajifanya lofa ukweli ni kwamba wewe ni lofa na huyo mke wako amukuweka kwenye chupi, nwanaume mzima huon aibu kusimulia ujinga na uzembe uliopitiliza??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jaribu kufanya uchunguxi yakinifu ili u prove beyond the resonable doubt ili utapofanya maamuxi magumu ya kiuanaume usilaumiwe na hakikisha evidence xote xinakiwa recorded ili siku ya kumsomea hukumu unakuwa unamchapa na evidence si kulaumu kutuomba ushauri maana kufanya hivyo imeonesha kutuamini na kuthamini uwepo wetu inshaala mungu akufanyie wepesi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini unatumia x hizo?
 
Usipende kumchunguza sana mtu ambaye bado unampenda maana chances are there are 80% possibility ukamkuta na taarifa ambazo zitakuumiza...

Mwache utafute mwingine hapa JF! Kwa taarifa yako JF kuna watoto wakaree!
 
Back
Top Bottom