Mkuu Haiwezekani Kila Mtu awe na Sura Nzuri Mkuu,Sisi ambao tuna Sura ambazo si mbaya wala Si Nzuri unatuweka kwenye Kundi gani?
Kwa Maoni yangu Mm Uzuri wa Mwanaume Unapaswa Kupimwa kwa Kiwango Chake cha Hekima,Akili,Uchapaji Kazi na Upendo hasa kwa Familia yake!!
Kwa hiyo kwa Maelezo yako tunaweza kupima Ukilaza au kutokuwa kilaza kwa Mtu kupitia Cv? Saed Kubenea ni Mtu Mwenye Uwezo Mzuri sana Kichwani,Kazi zake zinamshuhudia!!
Kwa hiyo wewe katika Hekima yako unadhani huyo Kova akikabidhiwa huo Mkanda hata kama ni wa Ukweli halafu Kova ambaye tunajua Msimamo wake tayari akishafanya hiyo Analysis atasema kwamba Kweli hiyo Kanda haijakuwa doctored? Kwamba Kova ni Mtu Muadilifu? That we can trust him,Tayari Mwajiri wa...
Neiwa
Mkuu nakuelewa sana,ingekuwa Nchi za watu "weupe" Kingenuka!! Ile Revolution ya Misri ilianza na Kijana Mmoja tu aliyefanyiwa Unyama, Cheche ikazaa Moto!!
Kwa sisi mambo hayo hayawezekani kwa sababu wengi wetu hatuna vigezo vinavyohitajike ambavyo ni AKILI na UJASIRI!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.