Wanasiasa na Lugha ya Vita: Hekima ya kupunguza sababu ya kuingia vitani na Malawi

kwa hali halisi ilivyo hasa maeneo mengi ya raia wakaao mipakani na amini kabisa wengi wao watasaport malawi. Kwani huduma nyingi muhim wengi huwa wanazipata toka nchi jirani kwa gharama nafuu kabisaa
 
umenena mkuu MMJ tatizo wanasiasa wetu penye janga ndio wanataka watoke kisiasa,wanakua wanaongea wasichokiamini.

ni ajabu kuona Edu kaibukia huku ilhali mambo mengi ameyakalia kimya, ingebidi awasiliane watunza silaha zetu kwanza manake nakumbuka nying zililipuka MBAGALA na GOMEZ si ajabu nyingine ngingi zishauzwa DRC, RWANDA na kwingineko bila ya yeye kuwa na taarifa, Manake kuna General inasemekana anashiko wakutosha SouthAfrica alitoa wapi kiasi kikubwa hicho?
 
Mwanakijiji ni mnafiki sana, kumradhi kama nitakuwa sijaeleweka ila nitasherehesha.

Mkjj ni mtu aliejenga chuki na Lowasa tokea alipotaka kumuhoji na kumwambia amuache anakula, akaanza kuleta vihadithi vya sungura, mara ndege inayoruka na wananchi waloduwaaa na mengi mengine ya kipropaganda, lengo kumchafua lowassa aonekane hafai ktk jamii.

daima mwanakijiji amekua akiotea na kusubiri nn Lowasa kasema au kafanya aje na spinning zake. mwana kijiji acha chuki binafsi na jadili mambo kwa upana wake.

tuje kwenye suali ambalo liko mbele yetu kama wana taifa hili, serikali kwa kupitia waziri wetu wa mambo ya nje ameeleza msimamo wa taifa letu, Samuel Sitta ameeleza, na tuko wazi kabisa njia ambayo taifa hili itafuata ni kutafuta utatuzi wa taifa hili kwa njia ya amani na kidiplomasia. na kabla ya Lowassa watu wakaanza kuja juu, ooh serikali dhaifu, kwa nn tusitoe kauli na kuandaa jeshi? na hao unaojidai kuwatetea au niseme njia yako ya kutaka kutugawa kwenye jambo la nchi kivyama nnakusudia CHADEMA wabunge wao ndio walikuwa wakali sana kuwa tuandae sasa mapambano.


cha msingi serikali yetu iko makini, na alichozungumza Lowasaa hajazungumza kama Lowasaa amezungumza kama Mwenyekiti kwenye kamati ya Ulinzi na Usalama, ulitaka azungumzie nn kuhusu usalama wa nchi ? yy ameeleza jinsi gani kuwa usalama wa nchi yetu upo, na jinsi gani jeshi letu lilivyo tayari kama litalazimishwa kwenda vitani(jua hii si option ya taifa). sasa kosa lake ni lipi ? angenyamaza ungesema, akisema unasema ww kweli mnafiki na mtu mbaya sana kwa taifa letu.

mm nnaona ww ni hatari zaidi kwa taifa letu kuliko hata malawi. acha kaka hizo
 
vita ya kagera uzalendo ulikuwa juu na pia tulibebwa na warusi na MIG 23 zao zikiendeshwa na marubani wao na kuhujumu vikosi vya amin, hawa machizi wameua uzalendo halafu wanataka tuingie vitani, wakati hata vifaru na mabomu ya jeshi letu vimechoka ni obsolete! kuna wakati waliwahi kuvitoa kwa ajili ya maonyesho ilikuwa aibu, vingine vilikuwa vinakwama kwenye lami.
 
War should be the last resort....but I like the words you have used Mzee Mwanakijiji...Wanasiasa wetu "wamezoea bullying" kwahiyo sasa hivi kwao kila kitu ni kulazimisha in their own way"
 
Last edited by a moderator:
Nakiri suluhu ya kidiplomasia ndio bora.
Lakini MM unafahamu ya kuwa Malawi wamegawa vitalu kwa ajili ya utafiti wa gesi na mafuta ziwani upande wa Tanzania? In fact ni ziwa lote upande wa TZ. I agree, sometimes you must be very bold to halt the situation while pursuing diplomatic agenda.

Nimeipenda hiyo statement kwenye red! if it is directed to the head of the state!
 
Nachukua fursa hii kuwaasa watanzania wenzangu kuwa msishabikie vita maana hatuna viongozi makini, swala hili liende taratibu. Viongozi wetu ni wazuri wa kutoa matamko sio wazuri wa ku-plan jambo litafanyikaje na kutekeleza. Mfano waliahidi mambo mangapi kwenye campaign hawajatekeleza hiki ni kipimo cha kiongozi anayeweza kutamka bila kujua atatekeleza vipi, pili JK alisema hana mamlaka ya kimungu kuleta mvua (it was an excuse), JK alisema hajui kwa nini Tanzania ni maskini (very sad). Sasa leo mtu huyu huyu ndo atuingize vitani umakini uko wapi hapa. Atapata excuse ya blanda zote alizozifanya nyuma kuwa hii ilisababishwa na vita, pia nawaasa wanajeshi kuwa don't listen to politicians mtaangamiza watanzania na kuiacha nchi maskini. Maamuzi yasiyo ya busara ya Nyerere kutuingiza vitani yalitugharimu sana mpaka sasa.

Vita sio suluhisho bali itakuwa kichaka cha mafisadi.
 
Shine naona hoja zako nyingi umekuwa na kutotaka nia ya dhati kulinda upande wetu kumbuka hata licha ya gesi na mafuta unavyodhani watanufaika wakubwa ila kumekuwa na shughuli za uvuvi na usafirishaji ambazo sisi zimetufanya tuishi na kusoma. Nukuu miji aliyoitaja mwanakijiji hapo mwanzo, wakazi wengi wa maeneo hayo watakuwa waathirika wa ziwa hilo iwapo itathibitika kama wamalawi watakavyo.
 
Last edited by a moderator:
Wanaoijua vita wanaipa heshima yake na kuacha mazungumzo yaendelee.

Waswahili walisema "Kwa muoga huenda kicheko, kwa shujaa huenda kilio".

Lowassa anajicontradict kuchanganya a war cry na kujifanya kuheshimu mazungumzo kwa msra moja. Kiongozi makini hatoi positions za kuangalia speculation kama alivyofanya Lowassa.

Nafarijika kuona kuna wengi tu wanataka dipllmacy before war, with war as the absolute last option.
 
Mwanakijiji ni mnafiki sana, kumradhi kama nitakuwa sijaeleweka ila nitasherehesha.

Mkjj ni mtu aliejenga chuki na Lowasa tokea alipotaka kumuhoji na kumwambia amuache anakula, akaanza kuleta vihadithi vya sungura, mara ndege inayoruka na wananchi waloduwaaa na mengi mengine ya kipropaganda, lengo kumchafua lowassa aonekane hafai ktk jamii.

daima mwanakijiji amekua akiotea na kusubiri nn Lowasa kasema au kafanya aje na spinning zake. mwana kijiji acha chuki binafsi na jadili mambo kwa upana wake.

tuje kwenye suali ambalo liko mbele yetu kama wana taifa hili, serikali kwa kupitia waziri wetu wa mambo ya nje ameeleza msimamo wa taifa letu, Samuel Sitta ameeleza, na tuko wazi kabisa njia ambayo taifa hili itafuata ni kutafuta utatuzi wa taifa hili kwa njia ya amani na kidiplomasia. na kabla ya Lowassa watu wakaanza kuja juu, ooh serikali dhaifu, kwa nn tusitoe kauli na kuandaa jeshi? na hao unaojidai kuwatetea au niseme njia yako ya kutaka kutugawa kwenye jambo la nchi kivyama nnakusudia CHADEMA wabunge wao ndio walikuwa wakali sana kuwa tuandae sasa mapambano.


cha msingi serikali yetu iko makini, na alichozungumza Lowasaa hajazungumza kama Lowasaa amezungumza kama Mwenyekiti kwenye kamati ya Ulinzi na Usalama, ulitaka azungumzie nn kuhusu usalama wa nchi ? yy ameeleza jinsi gani kuwa usalama wa nchi yetu upo, na jinsi gani jeshi letu lilivyo tayari kama litalazimishwa kwenda vitani(jua hii si option ya taifa). sasa kosa lake ni lipi ? angenyamaza ungesema, akisema unasema ww kweli mnafiki na mtu mbaya sana kwa taifa letu.

mm nnaona ww ni hatari zaidi kwa taifa letu kuliko hata malawi. acha kaka hizo



Mwanakijiji amejenga Hoja,Wewe Unashambulia tu!!! Kiongozi Lazima awe na Hekima ya nn cha Kusema na Wakati gani!!!
EL aliteleza,simple!!
 
Mwanakijiji nachelea kusema kuwa haya maneno yako ni hatari sana kwenye saikolojia kwani unataka kushusha morali ya wananchi wasitetee taifa lao kwa kuwalisha udhaifu wa serikali na jeshi, vitu ambavyo hujafanyia utafiti. Unaposema kuwa nchi imeliwa na mafisadi sana na kuwa watu hawako pamoja sina shaka ni assumptions unazofanya ambazo zinazoegemea kwenye ushindani wa kisiasa uliopo. Diplomasia unayolazimisha ifanyike wakati malawi wameshaingia kwenye eneo la nchi na kuanza utafiti wao ni sawa na kuomba suluhu na mtu ambaye tayari ameanza kukurushia ngumi za uso. Si vizuri kutoa statements zinazokatisha tamaa wakati nchi inapokuwa kwenye tense situation kama hii. Kipindi hiki ni kipindi ambacho wananchi wanatakiwa wawe kitu kimoja. Hizi tofauti zetu za ndani tunatakiwa tuziongelee sisi wenyewe huku ndani na siyo kuziweka wazi kwa adui kitu ambacho kitampa advantage. Tuache kuwalisha watu woga. Analysis ya strengths na weakness za jeshi na serikali ni vitu ambavyo vinatakiwa vifanywe kwenye closed doors na si kutuanikia mtandaoni ambapo adui zetu huwa wanapita humu na kusoma. Kuna wengine humu wanashabikia tupigwe na malawi. Hivi mnajua implications za nchi kushindwa vita! Kumbukeni kuwa walishadai eneo lote hadi mbeya ni la kwao. Kwa hiyo tuache kubwabwaja humu maneno
 
Hapa hamna lolote, wanasiasa baada ya kuona wanapoteza umaarufu kwa kasi ya kutisha wamezua mgogoro wa mpaka ili angalua wapate sympathy ya wananchi. Hadanganyiki mtu kazi ni moja tu mageuzi.
 
LET US AGREE TO DISAGREE
EBU TUPITIE MAELEZO YA KAMATI YA BUNGE VIA MH LOWASA ALAFU TUJADILI:

KAMATI ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama imesema Tanzania imejiandaa kiakili na kivifaa kuingia vitani na Malawi kama italazimika kufanya hivyo.

Akizungumza mjini Dodoma jana, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Edward Lowassa alisema kamati yake imeridhishwa na maandalizi ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ).

“Tumepewa maelezo na jeshi letu na tumeridhika kuwa ikibidi kuingia vitani jeshi letu liko vizuri sana na limejipanga vizuri sana kwa uhakika, kiakili na kivifaa,” alisema Lowassa.

Kabla ya Lowassa kuzungumza na waandishi wa habari, alifanya kikao cha faragha kilichohusisha pia wajumbe wa kamati hiyo na makamanda wa JWTZ walipofika bungeni kutoa taarifa kwa kamati hiyo.

Hata hivyo, katika tamko hilo Lowassa alisema Tanzania inatarajia mgogoro huo utamalizika kwa njia za kidiplomasia kwa sababu Watanzania na Wamalawi ni ndugu wa muda mrefu.

“Ikibidi kuingia vitani jeshi letu liko vizuri sana na kama ilivyo ahadi yao (JWTZ), wako tayari kulinda mipaka ya nchi yetu hadi tone la mwisho. Tunasali sana tusifike hapo,” alisema Lowassa na kuongeza:

“Tunategemea hatutafika huko, lakini kwa heshima ya nchi yetu kama ikibidi kufika huko (vitani) tutafika kulinda mipaka yetu”.

Mwenyekiti huyo ambaye aliwahi kuwa Waziri Mkuu, alisema kama Tanzania itafikishwa mahali itabidi damu ya Watanzania imwagike, nchi iko tayari kulinda mipaka yake kwa nguvu.

Alisema kama itabidi kuingia vitani, itatumia umoja na mshikamano wa Watanzania wa mwaka 1978 wakati wa Vita na Uganda kulinda mipaka ili kulinda heshima ya nchi.

Alisema mwaka 1978 wakati Rais wa Uganda, Idd Amin na majeshi yake walipochukua sehemu ya Tanzania na kujitangazia ni mali yake, ilichukua hatua kumfukuza Amin.

“Alijitangazia sehemu ile ni mali ya Uganda hutegemei nchi ikae kimya, hutegemei Watanzania wanyamaze wakati nchi yao imetekwa, tulichukua hatua tukamfukuza hadi nchini kwake.”

Lowassa alisema Kamati ya Bunge inajua madhara ya kiuchumi yaliyotokana na Vita ya Idd Amin na kwamba vita yoyote ikipiganwa lazima kunakuwa na madhara ya kiuchumi.

Hata hivyo, alisema anaamini mgogoro huo hautafika huko na kusisitiza kuwa, lakini ikibidi JWTZ ni moja kati ya majeshi bora duniani na ni jeshi lililojiandaa vizuri kwa lolote.

“Wako tayari sisi ni moja kati ya jeshi lililojiandaa vizuri na jeshi bora duniani na la kujivunia. Tuko imara kiakili na kivifaa tena vya kisasa,” alisema Lowassa.

Alisema kamati yake inaunga mkono msimamo ulitolewa bungeni juzi na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kuhusu mgogoro huo na kwamba ndiyo kauli rasmi ya Serikali.

Juzi, Waziri Membe alizionya kampuni za kigeni za Malawi zilizoingia katika ardhi ya Tanzania eneo la Ziwa Nyasa kutafiti mafuta na gesi kusitisha mara moja...........


NB: AYA NI MAELEZO YA KAMATI WALA SI LOWASA PEKEE.
Binafsi simkubali mh Lowasa ila linapokuja suala la ulinzi wa mipaka sitasita kuunga mkono iwe kwa njia za kidiplomasia au nguvu! Tusikubali kuwa legelege eti kwa kuwa tunaongozwa na watawala tusiokubalaiana nao. MMM ukisema tusisikilize wanasiasa kwa mfumo wetu wa taifa ili tumsikilize nani ,sheihk , padre au mkulima?Mh Lowasa, na pia nilivomsikia mh Mwamunyange ni kuwa pale tutakapokuwa tumefika mwisho wa diplomasia shurti tuwalinde watanzania wetu kwa nguvu za kijeshi. Kila inchi ina jeshi na lina maana yake. Nawachukia mafisadi, naichukia serikali hii na nachukia sana vita, ila ukichokozwa usipojibu mimi sitakuelewa. Kauli za kipuuzi zilizotapakaa malawi dhidi ya rais wetu na waasisi wa taifa ili si za kumwachia ccm. Tukubali tuna vyama vya upinzani ambavo loabda havitakubaliana na uamuzi wa mwisho ila usalama wa taifa letu ni jambo la lazima. Nimeona ushauri wako kuwa nasi tutafute wawekezaji waanze exploration kwa kuwa malawi wameanza, ya nini tuingie mikataba tusiyohiitaji eti kwa kuwa wenzetu wameanza?ushauri mzuri labda useme tuwaachie wachukue kwa amani kuliko itilafu ila ukisema nasi tuanze utafiti, unatuletea conflict na mabepari ukizingatia iwe kwa malawi au kwa Tz wawekezaji sio sisi ni wa magharibi ya ukooo!!! Sikunbaliuana pale ambapo baba na mama wanapoitilafiana wakaamua kuachana alafu kila mtu anaanza kutafuta mteja wa kununua nyumba eti kwa kuwa mwenzie anataka kuuza, ivo anawahi mwenzie!mtaishia wote kupoteza thamani ya mali. Na vipi kule Kenya wanaouwinda mlima kilimanjaro, badala ya kutafta mipaka halisi tutangaze wawekezaji wanaoutaka mlima waje?hapana, tu define mipaka ya uhakika. Je , kama malawi ni wazima kiakili kwa nini wasiende katika utaratibu wa amani wa kudai mipaka mpaka watawala wao waanze kuwazushia watawala wetu??haikubaliki!!!Nakubaliana na kupishana kwetu kisiasa na serikali yetu ila kwa ili nasema tumfukuze adui kwanza alafu tukae kumaliza au kuendelea kuondoa tofauti zetu katika taifa ila ndani ya taifa. NIko tayari kumsikia dr slaa au zitto au mwakyenmbe n.k wakikosoa utawala wetu ila siko tayari kumskia yeyote yule malawi akimtukana rais wangu, akitaka kuchukua urithi wetu wa karne zote n.k nk. I CALL ALL WAZALENDO OF ANY KIND , ANY PARTY ANY CORNER OF TANZANIA, LETS FIRST CHASE THE FOX INTO THE FOREST THEN COME BACK IN THE HOUSE TO WARN THE HEN FROM WANDERING IN THE FOREST!!!!!!!!!!!
 
Jamani habari zenu nashukuru kwanza kwa kufanikiwakujiunga na jf'.mi nina kaswali te naona wanasiasa wanaanza kuwatisha malawi kuhusu mgogoro uliopo wa ziwa nyasa.wengine wanasema kama ni vita sawa tunaweza.kweli hizo ni kauli nzuri?
 
Umesema vyema sana nakubaliana na wewe asilimia mia. Lakini nikusahihishe kidogo tu kuwa Tanzania haina uwezo wa kuipiga Malawi nina huakika na hilo.
Pili ikitokea vita nina tamani sana Tanzania ishindwe (mimi ni mtanzania ninaipenda sana nchi yangu Tanzania.). Hii inchi ya mafisadi ikipigwa then naamini kabisa itakuwa nchi ya watanzania baada ya Vita.

umeongea MAVI!! yaani unatamani TANZANIA ishindwe? Natamani nikutane na wewe uso kwa uso nikunyonye MKU*DU.
 
Mtu wa pwani sijaona sababu ya kumshambula mwanakijiji ila ayo ni mawazo yake, si lazma ukubaliane naye na si lazima uconclude kuwa kupishana na maelezo ya mh Lowasa ni kwa kuwa wana ugomvi hapana, yeye katoa wazo na msimamo wake kwa upeo wake wala si maamuzi ya jumla,Tumtendee haki mleya mada!!
 
Mzee/kijana acha hiyo mambo! Acha zipigwe,zirindimeeee. Soma historia vizuri, hakuna nchi imesonga mbele bila damu kumwagika. Acha woga. akiingia sebuleni, ataingia bedroom. Amka!
Wacha upuuzi wewe! vita sio kitu kizuri hata kidogo, wala sio kitu cha kushabikia........ ianaelekea hujaonja radha ya vita...............
 
Mmj that's very nice analysis. Jamani point hapa ni tabia ya serikali kutuhamisha mawazo na kubadili dira na kuacha mambo muhimu bila kujadiliwa/kufanyiwa kazi. Tumeshtuka. Ya madaktari yako wapi? Walimu? Achilia mbali mauaji ya raia wasiokuwa na hatia. Hakuna hata siku moja waziri hata rais kutangaza vita dhidi ya zuluma mbalimbali hapa nchini,au ujinga n.k mimi naona adui mkubwa yupo ndani ya nchi na sio nje ya nchi.na adui huyu ni CCM
Kwa maana hiyo tunaomba vita hiyo na itokee ili sisi sote tuungane na Malawi kuipindua serikali ya ccm madarakai, tukifa watu kama laki hivi waliobaki wataishi maisha mapya ya raha, wakubwa na wadogo tutaheshimiana.

Na si hivyo tu nilitamani atokee mtu kama CHE-GUEVARA akatafute wafadhili mbele huko atuchukue vijana tuende mafunzo tukurudi tunaianzisha ile yenyewe kama LIBYA.
 
Mzee mwanakijiji, serikali ya tanzania na watanzania wengi tunaamini mpaka upo katikati ya ziwa, yaani sawa kabisa na mpaka wa Tunduma ambao ni reli. Kwa maelezo yako ni kwamba hata wa Zambia wakivuka mpaka na kuingia Tunduma tusifanye lolote mpaka tuongee nao kwanza? Kwa maono yangu mimi, mpaka ni mpaka tu haijalishi nchi kavu au majini. Hawa ndugu zetu wa Malawi walikaa na wenzao wa Tanzania wakakubaliana kusifanyike lolote ziwani mpaka muafaka upatikane, lakini Malawi wamekiuka makubaliano na kuendeleza shunguli za utafiti na kuvuka mpaka kuingia Tz, huoni kama hii ni sababu tosha kwa viongozi kutoa kauli za vitisho dhidi ya Malawi? Kama mimi ningekuwa ni amiri jeshi mkuu, ningeweka ulinzi mkali mpakani na kuamuru yeyote atakayevuka mpaka wetu basi ashughlikiwe vilivyo. Mipaka ya nchi lazima ilindwe kwa gharama zote. Swala hili siyo la kisiasa ni la Taifa, hapa wa Tz wote viongozi na wananchi wote wake kwa waume tunatakiwa kuacha itikadi zetu za vyama na kuwa kitu kimoja.
 
Katika vita hii serikali isitegemee itapata sapoti yoyote kutoka kwa wananchi sisi ambao tukiandamana kudai haki yetu wanatupiga mabomu na risasi, kutubambikia kesi, kututeka kututesa na kututupa mabwepande. ni wao wenyewe na magamba yao wakishirikiana na FFU na umoja wa vijana wao watakao pigana, ila sisi tutashirikiana na wamalawi kuipiga serikali maana hata ilo ziwa hatutanufaika nalo kama ilivyo ktk sekta ya madini, makaa ya mawe, gesi n.k.
 
Back
Top Bottom