Cv ya saed kubenea..

Guys,
Kuna jamaa yangu mmoja ana certificate ya Machenical tu lakini juzi amekwenda interview kwa Kazi ya Manager mahala flani na Wahatimu wenye Masters Degree na amewapiga chini na Jamaa kala kazi ! Cheti sio tija ni skills & experience tu

what a heartbreak breaking newzer.
 
CV please,mbona za wengine huwa tunaziulizia,lengo ni kuhakiki kama ni kilaza au la,maana inawezekana ukawa mpiganaji lakini kilaza tu



Kwa hiyo kwa Maelezo yako tunaweza kupima Ukilaza au kutokuwa kilaza kwa Mtu kupitia Cv? Saed Kubenea ni Mtu Mwenye Uwezo Mzuri sana Kichwani,Kazi zake zinamshuhudia!!
 
Tatizo letu tumewekeza sana kwenye makaratasi badala ya performance....ndio maana tutazidi kupigwa bao kwenye soko la ajira za kimataifa.....CV yake ni kazi anayofanya na kama unamkubali ni shujaa hiyo ndiyo CV yake kwani wapo wanaoweza kuwa na elimu kubwa kuliko yeye lakini wakashindwa kufanya ayafanyayo....



Umeshasema Yote!!! Hawa Wana Cv kuuuuuubwa halafu utendaji zero,Akina Professa Maghembe!! Mtu atapimwa kwa Kazi zake sio Karatasi zake!!
 
In short, S. KUBENEA hana CV, kwa kuwa hata akiandika itakuwa mstari mmoja tu! Alimaliza shule ya msingi kule Mafia, kisha akaja Dar na Bagamoyo kufanya utapeli! Kwa kuwa ana ujanja wa mjini, waandishi wakawa wanamtumia kutafuta story! Kisha akabadili dini na kujiunga CHADEMA, sasa anasomea Uinjilisti kule UHOLANZI!



Kama Kubenea ni Tapeli basi tunahitaji Matapeli wengine kama yeye 50 tu Nchi hii itasonga Mbele!!
 
Siyo lazima kuwa class monitor kwanza background ndio uje kua activist mzuri ukubwani. Tokeni hapa.
 
B.A IN UCHONGANISH
B.SC IN UNAFIKI
Phd in uongo zote amepatia chuo kimoja kilichopo jehanamu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom