T/bill,bonds huwa zinatolewa na serikali kupitia central bank yake,,,,serikali inapokuwa na upungufu wa pesa ktk matumizi yake wanatoa ripoti hazina kuu kwamba tuna deficit ya eg. billion 50 this month ,xo hazina inatengeneza T/bills zenye value hiyo na kupeleka BOT,zikifika BOT zinaitwa government BONDS,,BOT huwa wanatangaza kuwa tarehe fulani kutakuwa na mnada wa bonds minimum ni milloni labda 40;Na maturity yake ni miaka lets say 5,na annual interest rate ni 15% per annum/year.sasa investor wenye uwezo ambapo huwa mara nyingi ni mabenki,makampuni,mutual funds hata nchi nyingine pia huwa wananunua thats why kwa nchi marekani unasikia 20% ya madeni yao inadaiwa na china.hii haimaanishi kuwa serikali ya marekani ilienda kuomba msaada china hapana,bali ilifata huu utaratibu na hawa chinese people wakanunua.na hii njia ndo inayotumika na serikali kupunguza ama kuongeza mzunguko wa fedha ktk nchi ama ukisikia kuprint pesa kwa serikali ndio hivyo,,hivyo basi kama mtahitaji maelezo zaidi kuhusiana na hii kitu mniambie