Muuza Sura
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,985
- 1,345
Hilo jibu mkali!bongo tu imekuwa haina mwenyewe siku hizi hadi hata ukiwa na kipande famba bado unakimbiza!!!!naona mpoki anawatia sana moyo wenye sura za babu zao eti mwanaume hasifiwi sura!!!watu vipande vinauza na ukuta tunaongea nao katika masuala ya muamala kama kawa!....tukishikia bango gym si ndio itakuwa balaa dunia nzima!Kwahyo Jamaa Kipande kime-shake? Hahaaaaa!