Baba anashangazwa,jinsi gani mtoto haridhiki,hafurahishwi hana shukurani na jitihada za baba yake kuhakikisha anapata anavyohitaji.
NB. Tujifunze kuwa na moyo wa shukrani kwa vyote tunavyofanyiwa na wazazi,wakubwa,ndugu wakuu wetu.
Namshauri atulie aitunze ndoa yake,mume wake akija gundua hatamsamehe, ni dhahir kuwa wanaume hawasamehi wake zao wakiwasaliti ata akisema yameisha ajue yupo mtegoni...(heshima katika ndoa muhimu)
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali na wote wanaohusika (Bodi ya Mikopo)inapaswa iwaangalie wanafunzi wote ambao hawajapewa mikopo baada ya kuingia nao kwenye mkataba. Maisha chuo bila hela ni magumu mno. Kwa viongozi wa wanafunzi UDSM (DARUSO) mnastahili mtengue maneno yenu ya kuiamrisha serikali, Muige mfano wa SUA...
Marangu coach wa hovyo hao....
Walinitoa Dar nafikia Leganga eti wakaniambia hawashushi hadi Arusha au ningeshuka USa kisa haikuandikwa hivyo kwenye chart yao.....Nikaapa kutopanda basi lao milele ....bora nibadilishe njia nipite dom kama ndilo basi pekee lilobaki .......nkt!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.