atakua ameshachoka kupeleka CV maofinini kuomba hata nafasi ya kujitolea,siku hata kujitolea ni dili,kaona bora arudi zake shule pengine akimaliza labda mabo yanaezakua nafuu,,mpeni tu kaushauriUnatafuta degree ya kazi gani?? Hiyo Diploma imekupa nini?
Kasome accountancy.Wakuu nawasalimu nyote! Nimesoma microfinance management cheti na diploma, naomba Kwa wanaofahamu course inayoendana na hiyo ili nisiwe nje Sana, au je nikiendelea na hiyo Microfinance management degree ajira zipo? Au kujiajiri ni rahisi?
Natanguliza shukrani.
Chuo gani, bora zaidi?Kasome accountancy.
TIA, IFM, CBEChuo gani, bora zaidi?