Tatizo hapa sio ukweli anaousema leo ila ni uongo alioutumia mwanzo wa kuomba misaada kwa ajili ya waathirika afu akaitumia kukarabati miundombinu ya serikali, afu ikumbukwe alitoa katazo la watu kuwasaidia wahanga direct ila misaada yote ipitie serikalini
Nijuavyo mimi kati ya hao wote uliowaorodhesha hapo juu hakuna hata mmoja mwenye ofisi shuleni! So hauwezi jua labda hzo taarifa wazir alitangulia kuzipata kabla ya wao maana wengi wetu tumeziona mtandaoni
[23:42, 5/19/2016] Muthaa: Ndo ivyo mazee! Kuna watu wanajikuta wana mandate sana, hata kuhojiwa hawataki, wakifanya makosa kurekebisha hawataki....
Ni mkusanyiko wa matukio mengi yalochukua takribani wiki mbili huku md3 na utawala wa chuo tukiwa kwny mzozo ambao chuo kimeshindwa...
Sina uhakika kama wameshaitoa ila huwa wanagawa chuon ingawa ni kwa kuchelewa na si mara zote!! Naenda mwaka wa tatu nw ila wameshatugawia mara moja tu na ilikuwa olmost the end of sem 1
Tundu Lisu katingwa Jimboni kwake hawezi kutoka hali no mbaya, hata hivyo hamkubali Lowasa pia lile ni Tangazo halali Tundu anakiri kwamba Lowasa ni Fisadi walimtaja ktk List of shame na yeye ndiye aliyeitayarisha ubaya uko wapi? Tundu ni wa kupongezwa sana.
Labda jimbo jingine sio hii Singida...
Kilichofungwa pale IMTU ni hospital na sio chuo!!. Na kwa mujibu wa naibu wazir wa afya ufungaji wa hospital hauhusiani na tukio la utupaji wa mabaki ya miili ya watu ila mapungufu yaliyopi hapo hospitalin ndio sababu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.