mkuu Sumbai umeniuliza swali ambalo cjawahi kufikiria, mengine angalau naweza kujibu maana kwenye hii fani nilishakuwepo kama tempo baada ya kuhitimu kidato cha 6, ila sikuwa mwalimu wa darasa, ukija kwenye scheme of work, logbook, duty book, lesson plan pande hizo naweza!