Nauza nyumba maeneo ya kona ya mbauda jijini Arusha

Nauza nyumba maeneo ya kona ya mbauda jijini Arusha

Mgito

Senior Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
163
Reaction score
69
Nyumba iko maeneo ya kona ya mbauda jijini Arusha, stend ya mirongo, ziko mbili, moja self, na nyingine ya vyumba vitatu kwenye uwanja mmoja, mita 50 kutoka barabara ya Oljoro, maji na umeme vinapatikana, hakuna dalali, muuzaji ni mimi mwenyewe, bei 50M,maongezi yapo, simu 0754817826, 0785 557323.
 
Najaribu kuweka inasumbua kidogo, fanya subira kidogo
 
Umbali kutoka barabarani ni mita ngapi? Ni maeneo ya oljoro road dispensary? ni vizuri ukitoa maelezo kamili na ya kueleweka, ukitupia na picha utakuwa umemaliza.
 
Maeneo ya mbauda ccm, mita 50 kutoka barabara ya Oljoro, picha najaribu kuupload zinasumbua
 
Nyumba iko maeneo ya kona ya mbauda jijini Arusha, stend ya mirongo, ziko mbili, moja self, na nyingine ya vyumba vitatu kwenye uwanja mmoja, mita 50 kutoka barabara ya Oljoro, maji na umeme vinapatikana, hakuna dalali, muuzaji ni mimi mwenyewe, bei 50M,maongezi yapo, simu 0754817826, 0785 557323.
Mkopo wa benki ambao dhamana ilikuwa hiyo nyumba umemaliza? Weka barua ya benki hapa kuthibitisha umeshalipa zote.
 
Haina dhamana yoyote Mkuu, kama uko serious njoo uione
 
kwanini unaiuza mkuu tuanzie hapo sorry lakini kwa swali hilo
 
kwanini unaiuza mkuu tuanzie hapo sorry lakini kwa swali hilo
Swali zuri Mkuu, msimu wa kilimo umekaribia, nina mashamba kijijni, nataka nipate mtaji wa kulimia, ndio maana nataka kuiuza
 
Nyumba iko maeneo ya kona ya mbauda jijini Arusha, stend ya mirongo, ziko mbili, moja self, na nyingine ya vyumba vitatu kwenye uwanja mmoja, mita 50 kutoka barabara ya Oljoro, maji na umeme vinapatikana, hakuna dalali, muuzaji ni mimi mwenyewe, bei 50M,maongezi yapo, simu 0754817826, 0785 557323.
Ila si unajua nyumba zimeshuka bei kwa sasa sio tunakupigia unaleta habar za million mia
 
Mkuu chilumendo, hiyo nyumba ninayoiuza nimejenga kwa kilimo, sio moja tu, kijijni ninayo, pia kule kwa morombo ninayo, kwa kupitia kilimo, kilimo kinalipa mkuu
 
Nyumba iko maeneo ya kona ya mbauda jijini Arusha, stend ya mirongo, ziko mbili, moja self, na nyingine ya vyumba vitatu kwenye uwanja mmoja, mita 50 kutoka barabara ya Oljoro, maji na umeme vinapatikana, hakuna dalali, muuzaji ni mimi mwenyewe, bei 50M,maongezi yapo, simu 0754817826, 0785 557323.
1477945395225.jpg
1477945406014.jpg
1477945419785.jpg
 
Nyumba iko maeneo ya kona ya mbauda jijini Arusha, stend ya mirongo, ziko mbili, moja self, na nyingine ya vyumba vitatu kwenye uwanja mmoja, mita 50 kutoka barabara ya Oljoro, maji na umeme vinapatikana, hakuna dalali, muuzaji ni mimi mwenyewe, bei 50M,maongezi yapo, simu 0754817826, 0785 557323.
Sina nia ya kukuvunja moyo,ila kwa kuwa nami naishi Arusha najua mzunguko wa pesa ulivyo,kwa jiografia ya maeneo yako na kama upo serious unauza hiyo nyumba yako,nakushauri akitokea mteja mwenye 20-25ML,chukua na usiangalie nyuma.Hiyo bei inafaa itolewe kwenye nyumba yenye kiwanja kikubwa,nyumba yenyewe iwe ina ramani,pia iwe na finishing ya kueleweka,sasa wewe hiyo nyumba yako inaonekana ulijenga kwa pesa ya kuunga unga tu,ramani ni wewe mwenyewe.
Sina lengo baya ila ni kukushauri na hiyo ndiyo kazi ya JF kutipitia GT.
Kila la heri!!
 
Kwa ushauri wangu mil kumi zinakufaa sijaona Nyumba ya mil 50 hapo
 
Mmmh! 50M acha utani bwana! Hapo mvua au manyunyu kidogo hamtoki ndani, hamna space hata ya kuanika nguo, bei kubwa mnoooo kwa mazingira
 
Swali zuri Mkuu, msimu wa kilimo umekaribia, nina mashamba kijijni, nataka nipate mtaji wa kulimia, ndio maana nataka kuiuza


Kuuza nyumba kwenda kulima; seriously is a very BAD business model! kwa nini usitumie nyumba kama dhamana kukopa benki ukajaribu kilimo?! kama umewasikiliza mamlaka ya hali ya hewa TMA, jana wametahadharisha umma kwamba mvua za vuli zitakuwa haba sana mwaka huu, wamesisitiza wananchi wawasikilize wataalamu! Hata hivyo hata katika hali ya kawaida kilimo ni high risk investment hususani katika miaka ya karibuni kutokana na tabia
nchi amabayo imesababisha hali ya majira isiyotabirika! Hebu fikiria tena kabla hujajitosa kuuza nyumba kamanda, maana ukikopa kilimo kikajibu umelamba dume, hata kilimo kikigoma bado una nafasi ya kuongea na benki kuhusu marejesho wakati unajipanga upya, lakini ukiuza nyumba ukazama kwenye kilimo kama wengi ilivyotokea ndio umezama mazima
 
Back
Top Bottom