If you remember them say something.....

If you remember them say something.....

leleta Khumalo na whoopi Goldberg!
Filamu yao ilinilazimisha kujifunza kiingereza!
huku nina kamusi na huku nakariri vijimistari!
Sarafina ni movie nzuri sana kwa kweli!
cku hiz unanunua movie imeshatafsiriwa +uongo kibao
 
Hii ni moja ya movie zilizoangaliwa na Watanzania wengi sana enzi hizo mwanzoni mwa miaka ya 90. Watoto wa sasa hivi hawaijui movie hii. Wakati huo "Tv set" zilikuwa dili mno na zilikuwa zinaitwa "video". Ukiwa na "video" ya "Hitachi" wakati huo ni lazima na mlango wako uwe na "grill" ama sivyo lazima wazee wa kazi waje usiku kuichukua. Jirani yetu kila alipokuwa akienda kulala, ilikuwa ni lazima aingize "video" yake chumbani kwake licha ya kwamba nyumba yake yote ilikuwa na milango ya "grill". Watanzania tumetoka mbali jamani.
 
Hii ni moja ya movie zilizoangaliwa na Watanzania wengi sana enzi hizo mwanzoni mwa miaka ya 90. Watoto wa sasa hivi hawaijui movie hii. Wakati huo "Tv set" zilikuwa dili mno na zilikuwa zinaitwa "video". Ukiwa na "video" ya "Hitachi" wakati huo ni lazima na mlango wako uwe na "grill" ama sivyo lazima wazee wa kazi waje usiku kuichukua. Jirani yetu kila alipokuwa akienda kulala, ilikuwa ni lazima aingize "video" yake chumbani kwake licha ya kwamba nyumba yake yote ilikuwa na milango ya "grill". Watanzania tumetoka mbali jamani.
Sana aisee.. Mimi nilikuwa nakwenda na aunt yangu kwa mama mmoja ambaye alikuwa anakwenda kumsuka, so nadandia kwenda ili nikaangalie video, basi nikaona hiyo ya sarafina, basi anti akawa ananiambia nikisoma kwa bidii shuleni nami nitakuwa kama sarafina. Teh teh
 
Hii ni moja ya movie zilizoangaliwa na Watanzania wengi sana enzi hizo mwanzoni mwa miaka ya 90. Watoto wa sasa hivi hawaijui movie hii. Wakati huo "Tv set" zilikuwa dili mno na zilikuwa zinaitwa "video". Ukiwa na "video" ya "Hitachi" wakati huo ni lazima na mlango wako uwe na "grill" ama sivyo lazima wazee wa kazi waje usiku kuichukua. Jirani yetu kila alipokuwa akienda kulala, ilikuwa ni lazima aingize "video" yake chumbani kwake licha ya kwamba nyumba yake yote ilikuwa na milango ya "grill". Watanzania tumetoka mbali jamani.
😀😀😀😀 ni kwel mkuu
 
Hivi yule mzee aliyekuwa anaigiza kumtongoza mwanafunzi Sarafina si ndio alifanya kweli behind the scene na kumuoa Sarafina!? Kama nipo sahihi hivi ndoa yao bado ipo na wamejaliwa watoto!!?
 
Wale walioishi magomeni enzi hizo lazima mkumbuke kwa hayati sheikh Yahya Hussein maana ndipo tulipokuwa tunatazama movie kama hizi........kitambo sana
 
Zanzibar tv coloured zimeingia miaka ya 69,,,wakati Tanganyika miaka ya 88 baada ya mzee ruksa kuachia mipaka!! 74 RTD ikaanzishwa kabla ya hapo mwalimu J.K alikuwa anaenda Nairobi KBC!
 
Zanzibar tv coloured zimeingia miaka ya 69,,,wakati Tanganyika miaka ya 88 baada ya mzee ruksa kuachia mipaka!! 74 RTD ikaanzishwa kabla ya hapo mwalimu J.K alikuwa anaenda Nairobi KBC!
😳aise....
 
Wale walioishi magomeni enzi hizo lazima mkumbuke kwa hayati sheikh Yahya Hussein maana ndipo tulipokuwa tunatazama movie kama hizi........kitambo sana
😱😱😱ha ha ha
 
Hivi yule mzee aliyekuwa anaigiza kumtongoza mwanafunzi Sarafina si ndio alifanya kweli behind the scene na kumuoa Sarafina!? Kama nipo sahihi hivi ndoa yao bado ipo na wamejaliwa watoto!!?
🙄🙄mh..., ngoja nfatilie
 
Mpaka leo naipenda sana hiyo movie japo imechakachuliwa sana kwenye CD za siku hizi kuna vipengele vingi vinono wamevifuta
 
Back
Top Bottom