Makapuku Forum

Makapuku Forum

Na hili ndilo tatizo linalowatatiza wengi.

Ni wazo zuri lakini litakuwa na mapungufu yake maana unaweza kukuta mtu yupo Singida na anajikuta peke yake anayewakilisha Makapuku.

WAZO BINAFSI.
Ningependekeza yawepo mawazo ya watu tofauti tofauti kwa kila mmoja kujaribu kutoa ubunifu wa kitu kipi cha kufanya ili kwa kila atakayeona wazo flani linamfaa atalichukua na kulifanyia kazi kulingana na uwezo wake ama anaweza tafuta watu wengine kutoka huko aliko na wakaungana. Inakuwa ametengeneza kitu kutoka kwenye mawazo ya Makapuku Family, nahisi itasaidia sana.
Sure.
 
Na hili ndilo tatizo linalowatatiza wengi.

Ni wazo zuri lakini litakuwa na mapungufu yake maana unaweza kukuta mtu yupo Singida na anajikuta peke yake anayewakilisha Makapuku.

WAZO BINAFSI.
Ningependekeza yawepo mawazo ya watu tofauti tofauti kwa kila mmoja kujaribu kutoa ubunifu wa kitu kipi cha kufanya ili kwa kila atakayeona wazo flani linamfaa atalichukua na kulifanyia kazi kulingana na uwezo wake ama anaweza tafuta watu wengine kutoka huko aliko na wakaungana. Inakuwa ametengeneza kitu kutoka kwenye mawazo ya Makapuku Family, nahisi itasaidia sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom