Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,498
Pole nasikia ulichapiwa na YoungbloodSioni wa kujipanga hapo.
Pole nasikia ulichapiwa na YoungbloodSioni wa kujipanga hapo.
Aisee T.O.D tulikumisi.sana.Habari zenu ndugu zangu makapuku? Naamini mpo poa na Mungu ametupa fursa ya kuishuhudia cku ya leo.
Umeota??? Ngoja Jimena aje.
Nini tena shemeji.Mmmh napata walakini
Nipo ndugu yangu Sumbai....tatizo ni hii elimu bure na zamu ya kila siku wanayonipangia wakuu nabanwa na kushindwa kushirikiana na nyie ndugu zangu ila nipoNimekukumbuka saana mwalimuuuu
Unapotea sana wewe, nini tatizo?Wazima humu
Sikuamini hata kidogoNini tena shemeji.
Sure.Na hili ndilo tatizo linalowatatiza wengi.
Ni wazo zuri lakini litakuwa na mapungufu yake maana unaweza kukuta mtu yupo Singida na anajikuta peke yake anayewakilisha Makapuku.
WAZO BINAFSI.
Ningependekeza yawepo mawazo ya watu tofauti tofauti kwa kila mmoja kujaribu kutoa ubunifu wa kitu kipi cha kufanya ili kwa kila atakayeona wazo flani linamfaa atalichukua na kulifanyia kazi kulingana na uwezo wake ama anaweza tafuta watu wengine kutoka huko aliko na wakaungana. Inakuwa ametengeneza kitu kutoka kwenye mawazo ya Makapuku Family, nahisi itasaidia sana.
Poa shemeji.Yupo poa sana yupo bafuni anaoga shemeji akitoka tu akiwa na taulo atakuja kukusabai hapa...
MkuuPastor yupi tena yule aliachana na mke wake hapa hadharan tena si wakumwamin hata kumwekea wife mkono...
Nipo ndugu yangu Damu Changa....habari ya majukumu mkuu? mchakamchaka tu wa maisha unaniweka mbali!Aisee T.O.D tulikumisi.sana.
AggrrrKwani ni vibaya wakikusaidia kuzima taa Kama unavyomsaidia emmyguy?
Majukumu shemdarling na uzee unagonga hodiUnapotea sana wewe, nini tatizo?
Na hili ndilo tatizo linalowatatiza wengi.
Ni wazo zuri lakini litakuwa na mapungufu yake maana unaweza kukuta mtu yupo Singida na anajikuta peke yake anayewakilisha Makapuku.
WAZO BINAFSI.
Ningependekeza yawepo mawazo ya watu tofauti tofauti kwa kila mmoja kujaribu kutoa ubunifu wa kitu kipi cha kufanya ili kwa kila atakayeona wazo flani linamfaa atalichukua na kulifanyia kazi kulingana na uwezo wake ama anaweza tafuta watu wengine kutoka huko aliko na wakaungana. Inakuwa ametengeneza kitu kutoka kwenye mawazo ya Makapuku Family, nahisi itasaidia sana.

Kumbe mke ana uma eeehAggrrr
Hii kitu haikubaliki kabisa,ni ishara ya uzembe uliotukuka.
Hilo ni moja sister lakin amekuwa ni mtu wa kutokutuliza shingo sehemu moja kila anaye mpita lazima amwangalie kwa nyuma na sijui nini huwa anaangalia huko?Tatizo nasikia anahonga Sana pesa za sadaka na fungu la kumi.