Recent content by Tareeq

  1. Tareeq

    Je, Halotel Unlimited Internet ya 50,000 kwa mwezi ni nzuri?

    Sijajua na naingia kwenye dilema , nilijiunga tarehe 12 sept lakini ilipofika tarehe 26 ikaanza kupungua nikawauliza, wakanijibu kuwa kuna tatizola mtandao , lkini hata leohii naambiwa labda b u ndle limek at a s a s a sijui inakuwa na usahihi ni ipi
  2. Tareeq

    Kwanini Rais Samia kamtumbua Ummy Mwalimu?

    Ummi ni bora ? Kwenye nini haswa ? Hebu tuambie
  3. Tareeq

    Anaomba Ushauri: Alisalitiwa na mume wake wakaachana, Mume akaoa na akapata Pesa. Maisha yamekuwa magumu anataka kuwa Mchepuko

    Labda nijue hili Uliondika kwa sabau ya bwana ni Fuska na unataka kurudi akiwa bado Fuska mbona kama hujabadili kitu? Hebu waache wenzio iwapo uko na nia ya kuboresha maisha JIFUNZE siyo kurudi kule
  4. Tareeq

    Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

    Hapa pamejaa LONGOLONGO MTUPU Na mazingira ya RUSHWA TUPU hebu fikiria nimeomba umeme kwa JIKONECT toka 2021 na kupewa namba kuwa Ombi lako limekamilika, wasilisha Na.211222-0335, kwa mkandarasi aliyesajiliwa aweke taarifa za wayaring na kuwasilisha TANESCO Zoezi likafanyika Surveyor akaja na...
  5. Tareeq

    Naiona sura ya Hayati Magufuli ndani ya Paul Makonda

    Jamaa yako nimpenda maonyesho hana jipya na ni jitu la tambo tu si kiongozi anayetufaa
  6. Tareeq

    Katibu wa TEC: Maaskofu wanahitaji kuisoma mikataba iliyosainiwa, walipoitwa hawakuambiwa kulikuwa na nini

    Acha uoga wewe !!!wawekezaji wanahitajika kotekote hata kwa wanaolima parachix2
  7. Tareeq

    Ni sahihi kumtoa mama yako kwa baba yako kwa sababu ya kuteswa?

    Kwa hiyo wazazi wana mambo ya KIJINGA???Hebu jitafakari
  8. Tareeq

    Simba vs Yanga 05/11/23 mpira umeshaisha Yanga tumechukua points zetu 3 muhimu

    Kwanini tusifanye Simba anapiga mtu goli 3 au unaiogopa mno Simba???
  9. Tareeq

    Madada poa wanavyoongezeka Ubungo Riverside

    Weka na picha tuone ukweli wa ulichoandika mkuu
  10. Tareeq

    Swali Kwa Waislamu: Sababu gani ya msingi kuwataka wanandoa waanze na line (namba) mpya za simu baada ya kufunga ndoa

    Hii umeitoa mchangani siyo kwa Waislamu ambako mimi ni mmoja wapo Sisi hatuna itikadi hiyo
  11. Tareeq

    UPDATE: Vitoto vya nyoka nyumbani kwangu

    What if ukiona jongoo au konokno huwa unawaogopa siyo?
  12. Tareeq

    Nimevunja kioo cha kishikwambi

    Niuzie mimi hicho kibovu
  13. Tareeq

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kumekuwepo na mazingira tosha kabisa ya RUSHWA kwa wafanyakazi wa TANESCO na MIRADI INAYOSHIRIKISHA shirika hii nayo mnataka tuwapeleke TAKUKURU ,?
Back
Top Bottom