Madada poa wanavyoongezeka Ubungo Riverside

Madada poa wanavyoongezeka Ubungo Riverside

Evidence gani unataka mkuu. Tuhuma za wanachuo kujiuza zipo sana humu JF.

Story za wanachuo kujiuza zililetwa na malaya wa mid 30s, waliokunywa bia za ofa na nyamachoma kwa wingi hivyo wana vitambi. Wamechoka kwa kujipodoa kila siku na kulala na wanaume tofauti makumi kwa makumi.
Hivyo miili imekongoroka wengine wagonjwa (hata sio wengi kivile wanaokuwa waathirika kama inavyofikiriwa). Hao wakaamua wajiite "wanachuo" kama brand name ili kukuza thamani yao.
Sababu raia mtaani huona wanachuo ni chuchu saa sita, hawana vitambi, umri mdogo na hawana mileage kubwa.

Na kuna wanaume wakuja wanaotapeliwa na wanaume wenzao mtandaoni hasa Telegram na Facebook kwenye "lipia 3000 tukuunge na group la wanachuo". Hawa nao hudhani wanachuo wanajiuza.View attachment 2792588

Nilikuwa chuo nikasoma JF mara kadhaa kwamba wanajiuza. Kuna ujanja fulani online nilikuwa nafanyia watu nalipwa na wateja wangu wakubwa ni wanaojiuza, forex na kubeti; sikuwahi ona mwanachuo uko. Nikamuona member mmoja JF jina simtaji anakuwaga uzi wa pisi kali amempost mdada mwarabu nasoma nae kozi moja, ilikuwa Tinder ile nikajiunga na kumpata kwa mbinde maana haikuwa premium. Aliyepost hakuwa yeye, alipost picha sio yake.
Nimepita mitaa yao kama Riverside, Sinza, Kitambaa Cheupe, pale Temeke bar gani. Uko kote sijawahi kutana na mwanachuo, kama unawajua wanachuo hata avae gunia unamtambua.
Nishalipwa service hata apartments, nishakutana na machotara wa kizungu suala ambalo hata sikuwaza ila kukuta wanachuo wanajiuza sijawahi.

Ni occasion moja niliwafuatilia wawili usiku weekend kutokea hostel natoka kusoma. Nikawasikia kwa bahati wanasema na namna walivyovaa, nikachunguza kwa wadau nikajua kweli wanajiuza. Mmoja huyo alikuwa kawaida kutovaa chupi darasani. Hiyo ni case ndogo, kama ambavyo nilipokuwa nafanya hiyo service nilikutana na mdada Sinza anaonekana ana kazi nzuri na alikuwa na apartment nzuri sana na kila kitu chake ndani sio za Airbnb ila bado anajiuza.

Mambo ya wanachuo ni kujirahisisha, wanachanganya wanaume, wanachuna. Ila hawajiuzi kama nyanya au kumiliki social media account ya umalaya.
Duh harakati za kusakanya maokoto
 
Ni wazi kuwa uongozi wa Jiji la Dar es Salaam umeshindwa kudhibiti biashara haramu ya "dada poa" ambapo hivi Sasa biashara hiyo inawavutia wasichana wengi toka mikoa mbalimbali kuja Dar es Salaam kwa sababu inalipa.

Moja ya maeneo ambayo biashara hiyo imeshamiri ni eneo la Ubungo Riverside. Kwa Sasa Kuna makahaba zaidi ya 200 wanaofanya biashara ya kuuza miili,wengi wao wakiwa mabinti wadogo wa umri kati ya miaka 16-23.

Kwa sasa makahaba katika eneo hili wanapatikana kuanzia saa 12 jioni hadi asubuhi wakiwa wamevalia mavazi ya kimtego na wengine nusu uchi ili kuwa utia wateja wao ambao kwa kiasi kikubwa ni vijana.

Wanajipanga barabarani kuanzia ilipo Land Mark Hotel hadi Micasa pub.Kila mwanaume anaepita hata hukaribishwa kupatiwa huduma ya ngono.

Gharama ya huduma hii haramu inategemeana,kwa tendo moja kawaida ni 10,000/,kinyume na maumbile ni 15,000/ "round moja",na kwa wale wanaume wasiopenda kutumia mipira (Condoms) hupatiwa huduma hiyo kwa gharama ya 20,000/ round moja,pia wapo wanaotoa huduma ya kuwanyonya wanaume maumbile yao (BJ) na bei ni maelewano.

Uchunguzi nilioufanya pia nimegundua iwepo wa biashara ya mwanaume mmoja kufanya ngono na kundi la wanawake kuanzia watatu na kiendelea (Group sexing) ambapo Kila mmoja hupata ujira wake.

Biashara ya ngono katika eneo la Riverside licha ya kukosa udhibiti wa dola kwa kiasi kikubwa umechagizwa na uwepo wa nyumba nyingi za kulala wageni zenye bei nafuu (Majina ninayo),ambapo makahaba hulipia chumba kwa gharama ya 10,000-15,000/kwa siku nzima,kwa ajili ya kutoa huduma ya ngono kwa wanaume bila ukomo wa idadi ya wanaume wala muda.Makahaba wengine huchangia chumba kimoja hata wakiwa watatu,na wote wanaweza kuingia na wanaume na kufanya ngono kwa pamoja kwenye kitanda kimoja.

Kwa mujibu wa wadada wanaojiuza katika eneo la Riverside,dada mmoja anaweza kufanya na ngono ni wanaume kumi kwa siku au zaidi,ila si chini ya kumi,"Muda mwingine biashara inachangamka unapata hata wanaume 30 kwa usiku mmoja" aliniambia dada mmoja anaefanya ukahaba katika eneo hilo mwaka wa tano sasa,kijiwe chake kikiwa kwenye kituo cha mafuta cha GBP Riverside.

"Wengi wa Hawa Malaya ni watoto wa chuo,wanatoka hapo Mabibo hostel",aliniambia dereva mmoja wa bajaji anaeegesha bajaji yake eneo la bar ya Zambezi jirani na Cassino la Cleopatra ambapo pia ndipo kilipo kijiwe kikubwa cha makahaba wengi zaidi.

Kwa mujibu wa wenyeji,askari polisi huvamia eneo hilo na kukamata baadhi ya makahaba,ila wenzao huchanga pesa na kuwatoa usiku huo huo na kisha kurejea kwenye biashara yao hiyo.
Najiuliza mtu anafanya BJ Halafu jpili mdomo huohuo anautumia kumsifa Mungu
Asee Mungu anakazi sana
 
Ni wazi kuwa uongozi wa Jiji la Dar es Salaam umeshindwa kudhibiti biashara haramu ya "dada poa" ambapo hivi Sasa biashara hiyo inawavutia wasichana wengi toka mikoa mbalimbali kuja Dar es Salaam kwa sababu inalipa.

Moja ya maeneo ambayo biashara hiyo imeshamiri ni eneo la Ubungo Riverside. Kwa Sasa Kuna makahaba zaidi ya 200 wanaofanya biashara ya kuuza miili,wengi wao wakiwa mabinti wadogo wa umri kati ya miaka 16-23.

Kwa sasa makahaba katika eneo hili wanapatikana kuanzia saa 12 jioni hadi asubuhi wakiwa wamevalia mavazi ya kimtego na wengine nusu uchi ili kuwa utia wateja wao ambao kwa kiasi kikubwa ni vijana.

Wanajipanga barabarani kuanzia ilipo Land Mark Hotel hadi Micasa pub.Kila mwanaume anaepita hata hukaribishwa kupatiwa huduma ya ngono.

Gharama ya huduma hii haramu inategemeana,kwa tendo moja kawaida ni 10,000/,kinyume na maumbile ni 15,000/ "round moja",na kwa wale wanaume wasiopenda kutumia mipira (Condoms) hupatiwa huduma hiyo kwa gharama ya 20,000/ round moja,pia wapo wanaotoa huduma ya kuwanyonya wanaume maumbile yao (BJ) na bei ni maelewano.

Uchunguzi nilioufanya pia nimegundua iwepo wa biashara ya mwanaume mmoja kufanya ngono na kundi la wanawake kuanzia watatu na kiendelea (Group sexing) ambapo Kila mmoja hupata ujira wake.

Biashara ya ngono katika eneo la Riverside licha ya kukosa udhibiti wa dola kwa kiasi kikubwa umechagizwa na uwepo wa nyumba nyingi za kulala wageni zenye bei nafuu (Majina ninayo),ambapo makahaba hulipia chumba kwa gharama ya 10,000-15,000/kwa siku nzima,kwa ajili ya kutoa huduma ya ngono kwa wanaume bila ukomo wa idadi ya wanaume wala muda.Makahaba wengine huchangia chumba kimoja hata wakiwa watatu,na wote wanaweza kuingia na wanaume na kufanya ngono kwa pamoja kwenye kitanda kimoja.

Kwa mujibu wa wadada wanaojiuza katika eneo la Riverside,dada mmoja anaweza kufanya na ngono ni wanaume kumi kwa siku au zaidi,ila si chini ya kumi,"Muda mwingine biashara inachangamka unapata hata wanaume 30 kwa usiku mmoja" aliniambia dada mmoja anaefanya ukahaba katika eneo hilo mwaka wa tano sasa,kijiwe chake kikiwa kwenye kituo cha mafuta cha GBP Riverside.

"Wengi wa Hawa Malaya ni watoto wa chuo,wanatoka hapo Mabibo hostel",aliniambia dereva mmoja wa bajaji anaeegesha bajaji yake eneo la bar ya Zambezi jirani na Cassino la Cleopatra ambapo pia ndipo kilipo kijiwe kikubwa cha makahaba wengi zaidi.

Kwa mujibu wa wenyeji,askari polisi huvamia eneo hilo na kukamata baadhi ya makahaba,ila wenzao huchanga pesa na kuwatoa usiku huo huo na kisha kurejea kwenye biashara yao hiyo.
Kuna mwana yeye hajawahi kuwa demu pembeni yeye Kila miji akifika anaenda kituo Cha boda anaita boda mmoja anamuulize waapi atapata mbususu boda atampeleka bila hiyana kabisa ....jamaa Kwa usiku anaweza akanunua hata4 akipiga huyu anamwambia ondoka aje mwingine wewe tumemaliza atamwambia niongee hata ten tu tukeshee Kuna watu wamezoe asee
 
Ni wazi kuwa uongozi wa Jiji la Dar es Salaam umeshindwa kudhibiti biashara haramu ya "dada poa" ambapo hivi Sasa biashara hiyo inawavutia wasichana wengi toka mikoa mbalimbali kuja Dar es Salaam kwa sababu inalipa.

Moja ya maeneo ambayo biashara hiyo imeshamiri ni eneo la Ubungo Riverside. Kwa Sasa Kuna makahaba zaidi ya 200 wanaofanya biashara ya kuuza miili,wengi wao wakiwa mabinti wadogo wa umri kati ya miaka 16-23.

Kwa sasa makahaba katika eneo hili wanapatikana kuanzia saa 12 jioni hadi asubuhi wakiwa wamevalia mavazi ya kimtego na wengine nusu uchi ili kuwa utia wateja wao ambao kwa kiasi kikubwa ni vijana.

Wanajipanga barabarani kuanzia ilipo Land Mark Hotel hadi Micasa pub.Kila mwanaume anaepita hata hukaribishwa kupatiwa huduma ya ngono.

Gharama ya huduma hii haramu inategemeana,kwa tendo moja kawaida ni 10,000/,kinyume na maumbile ni 15,000/ "round moja",na kwa wale wanaume wasiopenda kutumia mipira (Condoms) hupatiwa huduma hiyo kwa gharama ya 20,000/ round moja,pia wapo wanaotoa huduma ya kuwanyonya wanaume maumbile yao (BJ) na bei ni maelewano.

Uchunguzi nilioufanya pia nimegundua iwepo wa biashara ya mwanaume mmoja kufanya ngono na kundi la wanawake kuanzia watatu na kiendelea (Group sexing) ambapo Kila mmoja hupata ujira wake.

Biashara ya ngono katika eneo la Riverside licha ya kukosa udhibiti wa dola kwa kiasi kikubwa umechagizwa na uwepo wa nyumba nyingi za kulala wageni zenye bei nafuu (Majina ninayo),ambapo makahaba hulipia chumba kwa gharama ya 10,000-15,000/kwa siku nzima,kwa ajili ya kutoa huduma ya ngono kwa wanaume bila ukomo wa idadi ya wanaume wala muda.Makahaba wengine huchangia chumba kimoja hata wakiwa watatu,na wote wanaweza kuingia na wanaume na kufanya ngono kwa pamoja kwenye kitanda kimoja.

Kwa mujibu wa wadada wanaojiuza katika eneo la Riverside,dada mmoja anaweza kufanya na ngono ni wanaume kumi kwa siku au zaidi,ila si chini ya kumi,"Muda mwingine biashara inachangamka unapata hata wanaume 30 kwa usiku mmoja" aliniambia dada mmoja anaefanya ukahaba katika eneo hilo mwaka wa tano sasa,kijiwe chake kikiwa kwenye kituo cha mafuta cha GBP Riverside.

"Wengi wa Hawa Malaya ni watoto wa chuo,wanatoka hapo Mabibo hostel",aliniambia dereva mmoja wa bajaji anaeegesha bajaji yake eneo la bar ya Zambezi jirani na Cassino la Cleopatra ambapo pia ndipo kilipo kijiwe kikubwa cha makahaba wengi zaidi.

Kwa mujibu wa wenyeji,askari polisi huvamia eneo hilo na kukamata baadhi ya makahaba,ila wenzao huchanga pesa na kuwatoa usiku huo huo na kisha kurejea kwenye biashara yao hiyo.
Serikali iwatengee maeneo rafiki...ili tusipoteze mapato...kodi....tukisema tudhibiti...tunajidanganya wenyewe
 
Hapo kwenye BLOW JOB (bj) naona kuna usalama wa afya kwa mwanaume. Huduma nzuri sana hii hasa kwa sisi tusiopenda kuchomeka kila tundu na hatupendelei sabuni ila upwiru ni mzto.
Mleta mada tupe details kidogo kuhusu huduma hii na gharama zake wanafanyaje, mikoani hamna hii ktu.
Kila mkoa ipo.
 
Duuuh....aisee tuacheni masihara jamani...kama kweli huyu jamaa hizi statistics zake ni za ukweli, basi serikali inapoteza hela nyingi sana za kodi...Ebu ngoja twende sawa apa chini...namnukuu jamaaaa

1. IDADI YA CHANGUDOA = 200
2. IDADI YA WATEJA KWA KILA CHANGUDOA MMOJA = 10
3. GHARAMA YA CHINI KABISA KWA HUDUMA = 10,000

Haya sasa, apo nimechukulia kwa makadirio ya chini kabisa kwa kila kipengele
Ebu ngoja tu assume huyu changudoa kwa wiki moja anafanya kazi siku 6 tu halafu moja anapumzika

- Fedha anayoingiza changudoa mmoja, kwa siku moja, kwa huduma ya gharama ya chini kabisa ni
Changudoa mmoja * idadi ya wateja kwa siku * gharama ya huduma
1 * 10 * 10,000 = 100,000
KWA WIKI MOJA (siku 6 tu ,moja nimetoa ya yeye kupumzika)
1 * 10 * 10,000 * 6 = 600,000
OK, OK OKAAAY, KWA MWEZI MMOJA AMBAO UNA WIKI 4
1 * 10 * 10,000 * 6 *4 = 2,400,000
MPO APOOO, AYA SASA KWA MWAKA MMOJA WENYE MIEZI 12 ITAKUA NI KAMA APO CHINI
1 * 10 * 10,000 * 6 * 4 * 12 = 28,800,000 (MILIONI ISHIRINI NA LAKI NANE)

MABIBI NA MABWANA, AMINI USIAMINI HESABU HAZIDANGANYI
KAMA CHANGUDOA MMOJA TU ANAINGIZA 28,800,000, JEEE MACHANGUDO 200??

HEHEHEHEEHE, SIMPLE NI 28,800,000*200 = 5,760,000,0000 ( BILIONI 5 NA MILIONI MIA SABA NA SITINI TU)

EBU NGOJA TU ASSUME KODI YA SERIKALI KWA MWAKA NI 30%, KWAIYO SERIKALI INGEKUA KILA MWAKA INAINGIZA KIPATO CHA SHILINGI 5,760,000,000 * 30% = 1,728,000,000 ( BILIONI MOJA NA MILIONI MIA SABA ISHIRINI NA NANE)

NA APO,NI KITUO KIMOJA TU CHA RIVERSIDE!!!!!! VIPI UKIAMUA KUFANYA MAJUMUISHO YA VITUO VYOTE VYA MALAYA TANZANI??????!!!!!!!

AISEEEEEEE,HII BIASHARA NI SERIOUS MNOOOOO,KUNA MAPATO MAKUBWA SANAAAAA APA SERIKALI WANAYAKOSA BILA KUWEPO NA SABABU ZA MSINGI, EBU RASIMISHA HII KITU UONE KAMA HATUTAPANDA KWENYE UCHUMI WA KATI BAADA YA MIAKA MITANO TU!!!

TENA WATEJA TUTAENJOY ZAIDI MAANA UNAPATA RAHAAAAA, UKU UNAKUZA UCHUMI WA NCHI YAKO
Achana nao waendelee kukosa kodi
 
Wivu TU, kwingeneko duniani wanaitwa Service worker's, huwa ni watu muhimu sana, Kwanza wanasaidia Watu wenye stress kujifariji, pili wanapunguza vitendo vya ndoa zenye migogoro kuvunjika, tatu wanapunguza vitendo vya ubakaji, nne wanapunguza ndoa za utotoni Kwani watu wanaenda kupata huduma na wanaona Sio lazima kuoa watoto wakati mtaani huduma ipo, Tano wanawezesha vitendo vya kutongoza wanafunzi kupungua Hivyo watoto wakike kusoma bila bugudha!!
Ni vizuri kujua faida badala ya kujaa wivu
Naam serikali inapuuzia kukusanya mapato ktk hii sekta..kwa visingizio vya kiduanzi...ilhali viongozi karibu wote ndio wateja wakubwa...hebu nani weka zile picha za Dom.
 
Ushauri wangu serikali inapoteza mapato Sana

Iwape MASHINE za EFD watembee nazo wawapo kazin

Nimepiga hesabu kwa miji Kama KAHAMA MWANZA DSM ARUSHA MOSHI MBEYA MORO IRINGA MBEYA serikali inapoteza kiasi kiasi Cha BILIONI 350 kwa mwaka unaweza kujenga hospital ya wilaya kila mwaka kupitia makahaba
 
Biashara ya ngono katika eneo la Riverside licha ya kukosa udhibiti wa dola kwa kiasi kikubwa umechagizwa na uwepo wa nyumba nyingi za kulala wageni zenye bei nafuu (Majina ninayo),ambapo makahaba hulipia chumba kwa gharama ya 10,000-15,000/kwa siku nzima,kwa ajili ya kutoa huduma ya ngono kwa wanaume bila ukomo wa idadi ya wanaume wala muda.Makahaba wengine huchangia chumba kimoja hata wakiwa watatu,na wote wanaweza kuingia na wanaume na kufanya ngono kwa pamoja kwenye kitanda kimoja.
Hapa atalaumiwa Beberu
 
hii biashara imeanza ata kabla Yesu hajazaliwa. kweli ni biashara sugu naya Muda mrefu.

na kuna wale ambao hawakai barabarani wako online, wake za watu , na kuna vidada mtaani ni hela yako tuu.

Ndo maana vijana wanakuwa wabishi kuoa.
Sio wabishi kuoa bali wanazidi kuwa masikini kwa kuhonga.
 
Waacheni wafanye biashara.
hawaendi makanisani au nyumba kwa nyumba kutangaza huduma yao.
Sioni haja ya kuwadhibiti maana wenyewe tayari wanajidhibiti.
Sana sana wawekewe mazingira rafiki kwa biashara yao.
Awawape Ajira Sasa. Watu wamesoma hakuna Ajira,watu wanapeana Ajira ,Kuna mtt wa waziri anafanya bodaboda eti Ni Ajira. Pia inapunguzia vijana kubaka,pia inasaidia watu kupunguza hamu zao fasta kuliko kumpenda mno mwanamke mmoja,pia ukiwa na ke nje utakuta gharama inakuwa nyingi na unajiamini upo alone kumbe mko wengi. Hawa walikuwepo tokea yule kahaba aliwaficha wajeda wa Israel darini akawaambia najua Mungu amewapa hii nchi Ni ya kwenu. Ingawa wa saivi hawajui Israel Ni ya israel
 
Back
Top Bottom