amoc thedon
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 293
- 464
Tusichoshane. Mimi ni mwalimu katika shule X hapa nchini.
Jana katika pilika pilika zangu za hapa na pale si nikajikuta nimevunja kioo cha kishikwambi changu nilichopewa na serikali ya chama cha mapinduzi.
Naombeni ushauri wapi naweza pata spare maana me nipo Tanga, ama kama kuna utaratubu wa kufuata mtu ukiharibu naomba mnijuze.
Jana katika pilika pilika zangu za hapa na pale si nikajikuta nimevunja kioo cha kishikwambi changu nilichopewa na serikali ya chama cha mapinduzi.
Naombeni ushauri wapi naweza pata spare maana me nipo Tanga, ama kama kuna utaratubu wa kufuata mtu ukiharibu naomba mnijuze.