Daah nimetoka ku prove hii kitu, aisee sijui tunaelekea wapi maana huko ni balaa tupu, kila unaemgusa anakwambia hela yako tu! Inasikitisha sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Tehehhh..mabao 17!
Umenkumbusha mwana mmoja alikujaga kijiweni na fix eti ametoka kumgonga demu bao 7 bila kishuka. Mshikaji mmoja akamwambia hivi..aidha ni we mi muongo au hujawahi kutom*a! Ilibidi mwana aondoke kijiweni kimya kimya, kuanzia hapo akajipatia jina la Mzee wa 7 bila kushuka...
Maneno Meier, Mkuu issue sio eti wameshindwa. Je wamepewa hiyo nafasi? Huwezi kuamka asubuhi ukapeleka design calculation wizara ya ujenzi, bila invitation, utaonekana chizi!
Nadhan hapa issue ni vipaumbele vyetu, hatujali sana maana hii kitu ni ya long time.
By the way, nafikiri tatizo sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.