Hazard90
Member
- Nov 15, 2017
- 53
- 60
- Thread starter
- #41
Honedtly coach wa Argentina ndio wa kulaumiwa. Anawaacha Dybala na Di Maria bench kny mechi muhim kama hii.
Messi analaumiwa bure tu, maana hata achezeje, hana support kabisa. Leo muda mwingi amekua akienda kupokea mipira kutoka kwa mabeki kwenye nusu uwanja ya argentina!
I think it's high time he retires from this team!
Washajaribu kila namna hyo timu yao tu imeshindwa kuconnect ila vipaji kibao