Alhamisi tarehe 17 February 2011 majira ya saa nne kasoro nikiwa nimejipumzisha nyumbani kwa anko Kijitonyama (nilikuwa nikiishi mwenyewe baada ya anko kuhama Dar). Nikapokea SMS kutoka kwa binti ambaye alikuwa akisoma KIU (Kampala International University - Gongolamboto.
Nilimfahamu huyu binti (nitaomba nimwite V) baada ya kukutana naye eneo la chuoni KIU ambapo mimi nilipata kazi ya kusimamia ujenzi hapo (wakati ule ndio chuo kilikuwa kimeanza na walikuwa wakijenga majengo). Binti nilikutana naye kwenye mgahawa hapo pembeni ya uwanja wa shule.
Binti alikuwa ametokea Karatu (wadau mtakuwa mnajua namna mabinti wa Karatu walivyo) na alikuwa amepanga jirani na chuo na chumbani kwake kulikuwa na hitilafu ya umeme hivyo aliomba kama naweza kumuunganisha na mafundi umeme, tulibadilishana namba na kumpatia usaidizi wa fundi umeme ambeye alikwenda na kurekebisha umeme. Alishukuru sana na baada ya hapo hatukuwa na mawasiliano.
Siku ya tarehe 17 February 2011 ndipo nikapata SMS ikiwa inasomeka hivi ''Hivi injinia unaishi wapi?, mabomu yamelipuka huku Gongo la mboto sasa hivi nipo Buguruni sheli na sijui niende wapi''.
Wengi mtakumbuka tukio la mlipuko wa mabomu kambi ya Jeshi Gongo la Mboto ( Chuo cha KIU kinapakana kabisa na kambi hii).
Wakati huu mimi nilikuwa nikifuatilia matangazo ya redio kuhusuiana na tukio hili.
Nikamjibu naishi Kijitonyama,kisha nikamwambia panda gari nikukute mkwajuni.
Binti akapanda gari, mimi nikawasiliana na jamaa wa bajaji ili nikamchukue V.
Nikakutana naye muda wa 5.20 usiku maana kulikuwa na foleni na pilikapilka nyingi sana usiku ule, V alikuwa amejaa woga na wasiwasi sana, nikamkumbatia na tukaingia kwenye bajaji. Safari ya kurudi Kijitonyama ikaanza, tulipofika maeneo ya Makumbusho nikamuuliza kama amekula chakula cha usiku, binti kwa unyonge akajibu kuwa hajala. Nikamchukulia kiepe na kuku pale pembeni ambapo kulikuwa na Break Point (waliokuwa mjini miaka hiyo mtakumbuka vizuri).
Tukafika nyumbani na kumuandalia chumba cha kulala. Akaingia chumbani na kuoga kisha akarudi sebuleni ili aweze kula.
Baada ya kula nikamwambie akalale ili apumzike, V aliniuliza '' wifi akinikuta haitakuwa matatizo''? nikamjibu kama wanaume wengi wangejibu ''hakuna wifi, ondoa shaka''.
Akaingia chumbani na kwenda kulala. Kichwani nilikuwa nina mawazo mengi sana maana huyu mtoto alikuwa mzuri japo si sana lakini nilimtamani japo niliona kumtongoza katika mazingira hayo kunaweza kuniabisha.
Nikawaza labda ataniita nikalale naye, lakini hakuniita, hivyo nikaenda chumbani kwangu na kulala. Huu ulikuwa usiku mrefu sana maishani mwangu, nilijiona kabisa kwa mara ya kwanza binti anaingia kwenye himaya yangu na nashindwa kufanya chochote.
Asubuhi siku ya ijumaa, nilitoka chumbani na kuandaa chai kwa ajili ya mgeni aliyenilaza macho usiku kucha.
Nikiwa jikoni V akaja kunisalimia akiwa amejifunga shuka na kuniomba sabuni ya kufulia ili afue nguo zake na pia kama nina khanga au kitenge nimpatie. Sikuwa navyo vyote hivyo, mamcho yangu yalitua kwenye mabega meupe na laini na sura ya uchovu ya V, nikajikuta najibu tu nitaenda kukununulia nguo maduka yakifunguliwa.
Nilimaptia sabuni na V alirudi chumbani kwake, baada ya muda akaniita nimsaidie kuanika nguo uani maana hawezi kutoka na shuka.
Tukiwa tunakunywa chai kwa makusudi kabisa nikamgusa mguu wake kwa mguu wangu, alishtuka lakini cha ajabu akaniangalia na kutabasamu kisha akasema ''password haipo huko'', nikajikuta nauliza ''password ipo wapi'' jibu lililofuata ndio liliniacha mdomo wazi binti alisema ''huwa zinahamahama ila mara ya mwisho ilikuwa masikioni'' nilijikuta nainuka na kwenda nyuma yake na kupitisha vidole nyuma ya masikio, ghafla binti alijikunja kisha akasimama na kukumbilia chumbani, sikupoteza muda nami nilifuata.
Kumbuka binti amejifunga shuka tu, nilimkuta amaelala chali, huku sehemu ya mapaja ikiwa wazi, nilipitisha mkono katikati ya mapaja manene ya V mpaka kwenye ''kitumbua'' binti alikuwa amaeshalowana.
Alijigeuza nikahamaia kwenye maziwa(binti alikuwa na maziwa yamejaa na kusimama na ile rangi yake chuchu ilikuwa rangi ya pink) tukapiga romance kidogo, sikufanya ajizi nika-slide taratibu.
Hii ilikuwa ijumaa bora sana kwangu. Maana nilijilia vyangu weekend yote.
V alirudi chuoni Jumatano ya tarehe 23. Niliendelea kula mzigo mpaka alipomaliza chuo akaolewa na hatimaye kurudi kwao.
Kwa taarifa tu mtoto wake wa kwanza amempa jina langu.
Tufanye kazi Watanzania wenzangu, mimi najiandaa kuhudhuria
Research Design,Data Management Conference - Kigali, Rwanda tarehe 18th November 2019.
Naomba walau nipate binti wa Kinyarwanda ili niongeze orodha.