Recent content by TanzaniaMaendeleo

  1. T

    Majogoo wa Asili Aina ya Kuroiler Wanauzwa

    Sifa za Kuku aina ya kuroiler ni kuwa na uwezo mkubwa wa kuhimili misuko suko ya magonjwa. Majogoo hawa wanafaa kwa kufuga au kwa kuliwa moja kwa moja, na pia nyama yake ni tamu sana. majogoo hawa wanapatikana Dar es Salaam, Sinza , Mtaa wa juma Ikangaa ( karibu na Kivulini Bus Stop/ mkabala na...
  2. T

    Majogoo wa Asili Aina ya Kuroiler Wanauzwa

    Sinza ,Mtaa wa Juma ikangaa (Karibu na Kituo cha basi Kivulini / Mkabala na Mlimani City) Dar es Salaam. Karibu.
  3. T

    Majogoo wa Asili Aina ya Kuroiler Wanauzwa

    Majogoo wazazi wa asili aina ya kuroiler wanauzwa Sinza Dar es Salaam, wana uzito wa kuanzia kilo mbili 2 na kuendelea. Bei ni nzuri sana Tshs 15,000 kwa kila jogoo na wapo idadi ya kutosha. Kwa mawasiliano tafadhali piga simu +255 713 948 205. Karibuni.
  4. T

    Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

    Vema kwa kwa kutujuza kuhusu nyaraka hizo kama ulivyoziweka. Tafadhali nisaidie(draft) namna ya kumuandikia/ kuwaandikia notisi wapangaji ambao nataka kuwatoa katika nyumba yangu, hiyo ikiwa ni pamoja na muda wa kutaka lini watoke. Nataka niifanyie ukarabati nyumba husika ndipo baadae...
  5. T

    Ni wapi naweza pata kitabu cha Katiba ya JMT?

    Pia waweza angalia ofisi ya Serikali ya mtaa na / au ofisi ya kata. Huenda vikawa vya bure vimebaki, wakati ule wa mchakato wa kutengeneza rasimu mpya ya katiba vilikuwepo viingi tu, mie nilijipatia kimoja cha ziada huko.
  6. T

    Magari haya yameachwa kuzalishwa?

    Nauza Toyota Carina old model. haijafikisha Km 100,000 iko poa sana. Bei mapatano.
  7. T

    Was Nigeria FG Behind Synagogue Collapse

    An email sensationally claiming to be from Abubakar Shekau, the supposedly deceased leader of the extremist Islamic sect Boko Haram, has been circulated within Nigeria. The email, which this writer saw on various online forums, contains several startling allegations, centering on the claim...
  8. T

    TANZIA: Maxence Melo amefiwa na baba yake Mzazi

    Pole Maxence Melo. Mungu akutie nguvu wewe pamoja na familia.
  9. T

    Pamoja na kuwa na degree nimeishia kuwa kinyozi

    "Wanaokudharau siku moja watakusalimia kwa heshima x 2"
  10. T

    Tatizo kuhusu usajili wa NACTE

    Central Adm System ya NACTE bado iko active hadi sasa 1st Sept 2014, nadhani wataifunga leo saa 6 usiku. Fanya haraka kumalizia issue yako bado kuna Kamuda ka masaa kadhaa.
  11. T

    Msaada: Wapi hapa Dar naweza kusoma Oracle Database na kufanya proffessional exams?

    Huyo KITM anapatikana wapi na contacts zake, pia long form ya "KITM" ni ipi, nijuze tafadhali.
  12. T

    Namba mpya za Pikipiki kuanza na TZ badala ya T hapa imekaa vizuri..!!!

    Na Matela (trailers) za malori nazo inabidi ziwe na usajili wake tofauti na horse. Hii nayo ina maana kubwa kwenye udhibiti wa mianya ya uhalifu, pia si sawa kuendesha Horse ina namba nyingine na trailer ina namba nyingine za usjili.
Back
Top Bottom