Recent content by tamadunimusic

  1. tamadunimusic

    Mjadala Maalum: Wanaosaka ajira nje ya Tanzania

    Shukrani mkuu, ila vipi kwa wale wenye taaluma kama za udaktari wa mifugo either kwa ngazi ya diploma na degree pia kupata kazi majuu ni kazi ngumu kama ilivo kwa walimu au kuna utofauti? Na nchi zipi labda unajua waga zinaupatikanaji wa aina hii ya kazi mkuu
  2. tamadunimusic

    Kama Tekno alipata 13's million viewers, nadhani Diamond atapata shavu hili la Billboard

    Nahisi hujaelewa billboard wanamaanisha nini kwenye hiyo issue ya tekno au kama umeelewa basi utakuwa wewe ndio umekosea kufikisha ujumbe wako, tekno hajaitwa billboard bali katajwa kama msanii anaekuja vizuri na nimsanii wa kumuangalia mwaka huu (2017) so wala sio issue ya viewers kama...
  3. tamadunimusic

    Ni nani anastahili kuwa MwanaJamiiForums bora wa mwaka?

    Kuna vigezo vimewekwa hapo ila nashangaa still kuna mtu kama 1. Lizaboni-huyu jamaa makala zake nyingi ni kuhusu siasa sawa ila anakosa kigezo kwakuwa ana kasumba ya kuwa upande mmoja wa chama cha mapinduzi hivo kwa upande wangu naona hakustahili labda kama hicho kigezo kisingekuwepo 2...
  4. tamadunimusic

    Ben pol kauanza mwaka na hii ngoma

    Bado jina la msanii ben pol linatawala maskio ya wapenda burudani hasa ya muziki, baada ya kufanya vizuri mwaka uliopita na ngoma yake ya Moyo Mashine na akaja kushirikishwa kwenye wimbo wa Darassa Muziki na kuzidi kuufanya mwaka 2016 kuwa mzuri zaidi kwake Hakutaka kuchelewa sana kwakuwa...
  5. tamadunimusic

    Msaada wa kozi gani nisomee

    Me nimeuliza kwakuwa nilikuwa nashangaa mtu ana D moja atawezaje kusoma chuo tena kwa kuomba nacte kabisa kwa mujibu wa yule jamaa niliemuuliza ila all in all me sio mlengwa mkuu, nilibahatikaga kuendelea na advance
  6. tamadunimusic

    Msaada wa kozi gani nisomee

    Mkuu kwahiyo ata mtu akiwa na D moja ya Biology na zingine zote F anakuwa na kigezo cha kusoma hiyo cousre?
  7. tamadunimusic

    Kiba abeba tuzo ya video bora soundcity Nigeria

    Alikuwa anashindanishwa na wafatao Wizkid Tekno Kiss daniel Dbanj Banky w
  8. tamadunimusic

    Kiba abeba tuzo ya video bora soundcity Nigeria

    Mkuu umechanganya kidogo mafaili tuzo unazosemea wewe ambazo amechukua Diamond, Alikiba na navykenzo ni tuzo za GHANA na sio NIGERIA.
  9. tamadunimusic

    Kiba abeba tuzo ya video bora soundcity Nigeria

    Mkuu huyo jamaa amechanganya kidogo mafaili tuzo alizochukua Diamond, Alikiba na navykenzo ni tuzo za GHANA na sio NIGERIA
  10. tamadunimusic

    Mchezo wa draft

    Hatubishani mkuu tulikuwa tunaeleweshana tu. Anyway sorry kama nimekukwaza
  11. tamadunimusic

    Mchezo wa draft

    We ata jina tu hujui kuliandika ndio utajua kama kweli lina formula? Draft lina formula na lina husisha akili ndio ila siri ya draft ni kujua aina ya michezo mingi na kuikariri basi, hapo utakuwa unafungwa na mtu ambae anacheza mchezo mpya kwako au uwe unacheza na mtu unaelingana nae kiwango so...
  12. tamadunimusic

    Hivi Lamar yuko wapi?

    Kwa mujibu wa master j, kuwa zamani walikuwa wanarecord kwa hela nyingi sana tofauti na leo ambapo kwa dar hata ukiwa na elfu 50 nawewe unakuwa na wimbo, so kwa wale maproducer waliokuwa wanatoza hela nyingi hawawezi kutoka mfano kwenye kutoza milion hadi kwenye laki 1 au 2 hivo wameamua kuacha...
  13. tamadunimusic

    Kinachoendelea Iringa Samora, Diamond hii ni kufuru!

    Hapo ndo utamuelewa Diamond kwanini alisainisha wasanii wengi.....! Jamaa huu mwaka hadi ukaishe ataleta lile gari la ndoto yake
  14. tamadunimusic

    Soka la Bongo: Je hii ni mbeleko, nisaidie?

    Sasa mbona kama unajitekenya mwenyewe na unacheka mwenyewe....! Unauliza alafu unajijibu mwenyewe. Anyway lile ni goal safi tu kama magoli mengine Kama umeangalia game sidhani kama wewe umeona tukio hilo hilo tu kwa dakika zote 90, kabla ya lile goal kipa alikuwa na mchezo wa kujiangusha...
Back
Top Bottom