Ben pol kauanza mwaka na hii ngoma

tamadunimusic

JF-Expert Member
May 27, 2015
551
559
Bado jina la msanii ben pol linatawala maskio ya wapenda burudani hasa ya muziki, baada ya kufanya vizuri mwaka uliopita na ngoma yake ya Moyo Mashine na akaja kushirikishwa kwenye wimbo wa Darassa Muziki na kuzidi kuufanya mwaka 2016 kuwa mzuri zaidi kwake

Hakutaka kuchelewa sana kwakuwa anajua bado watu wanasikiliza muziki pia na ata Moyo Mashine hivo kaamua kufanya timing na bonge la ngoma kwa upande wangu, nyimbo inaitwa phone akiwa kampa shavu msanii wa Nigeria anaitwa mr eazi, mwaka huu utakuwa wa ushindani sana kuliko mwaka uliopita najua wasanii wengine nao wapo mbioni kuachia mangoma makali

Nimejaribu kuweka audio ila nimeshindwa kwa anaeweza sio mbaya kama ataamua kunisaidia, shukrani
 
Bado jina la msanii ben pol linatawala maskio ya wapenda burudani hasa ya muziki, baada ya kufanya vizuri mwaka uliopita na ngoma yake ya Moyo Mashine na akaja kushirikishwa kwenye wimbo wa Darassa Muziki na kuzidi kuufanya mwaka 2016 kuwa mzuri zaidi kwake

Hakutaka kuchelewa sana kwakuwa anajua bado watu wanasikiliza muziki pia na ata Moyo Mashine hivo kaamua kufanya timing na bonge la ngoma kwa upande wangu, nyimbo inaitwa phone akiwa kampa shavu msanii wa Nigeria anaitwa mr eazi, mwaka huu utakuwa wa ushindani sana kuliko mwaka uliopita najua wasanii wengine nao wapo mbioni kuachia mangoma makali

Nimejaribu kuweka audio ila nimeshindwa kwa anaeweza sio mbaya kama ataamua kunisaidia, shukrani
Tupe link tuifuate...
 
Ookkaayyyy
 

Attachments

  • Ben Pol Ft. Mr Eazi – Phone.mp3
    3.6 MB · Views: 64
hii nyimbo itafunikwa na itapotea kabisa katika ramani ya musiki.pale ambapo wanao jua kutowa nyimbo wakianza kuziachia.
Moyo Mashine ilikuwa nyimbo bora kabisa
 
Ndio tatizo la wasanii wetu kushindwa kubaki kwenye peak!
Kwangu mimi hapana Benpol alitakiwa kufanya zaidi ya hii.....
Moyo mashine bado haikinai ina maneno matamu

Hebu amtumie vizuri jamaa ayeandika moyo mashine chemistry yao ni nzuri sana, na yule mtu inaonekana anakipaji cha hali ya juu cha uandishi
 
mi pia nmeona kama ya kawaida aisee, atleast mr. eazi kaimba vzur kidogo na beat kama wamesample ya KCEE Omo alhaji
Ninawasiwasi huyu mr. Eazi atamtoa Tekno kwenye chati maana nyimbo zake tamu balaa pia zinapigwa TV mbalimbali , namkubali sana na style yake ya kuweka kofia mgongoni
 
Ninawasiwasi huyu mr. Eazi atamtoa Tekno kwenye chati maana nyimbo zake tamu balaa pia zinapigwa TV mbalimbali , namkubali sana na style yake ya kuweka kofia mgongoni
kweli kabisa mkuu, jamaa n habari nyingine
 
Wimbo ni wa kawaida mno.

sijui kwanini Ben Pol akifanya international collabo huwa zinakuwa amna kitu aiseeee
 
Back
Top Bottom