Oktobasasa hao wa march shule wanaanza lini tena...
Oktobasasa hao wa march shule wanaanza lini tena...
Nipigie 0769648110Habari za muda huu ndugu zangu me mgeni kwenye jamvi na kijana mdogo nmemaliza kidato cha 4 mwaka 2015.
Sasa je nsomee kozi gani itayofit alama zangu D 3 za Kiswahili,Biology,Civics masomo mengine yote F alafu nilisomea arts.
Msaada wana jamvi
mhhh kaz kwer kwerOktoba
Weka madude hapahapa usije ukaampeleka dogo kwenye chuo ambacho hakijasajiliwa dogo ana d3 ningumu kupata chuo vinginevyo labda veta dogo umli bado unaruhusu kama unapenda kusoma option iliobaki itakuwa ni kurudia paper tuNipigie 0769648110
makavu live una D-5 chuo sahau ngazi chetiWeka madude hapahapa usije ukaampeleka dogo kwenye chuo ambacho hakijasajiliwa dogo ana d3 ningumu kupata chuo vinginevyo labda veta dogo umli bado unaruhusu kama unapenda kusoma option iliobaki itakuwa ni kurudia paper tu
Me nimeuliza kwakuwa nilikuwa nashangaa mtu ana D moja atawezaje kusoma chuo tena kwa kuomba nacte kabisa kwa mujibu wa yule jamaa niliemuuliza ila all in all me sio mlengwa mkuu, nilibahatikaga kuendelea na advanceUkiwa na d moja tu ya bios na zingine zote f husomi hii kozi ''' vigezo vyake ni hizi unatakiwa kuwa na pass nne ila katika hizo pass nne d moja iwe ya bios na d nyingn 3 kutoka masomo mengne ila ww inaonyesha una d3 tu so hutosoma chuo chochot then pia mfumo wa sas hv mama anataka kuanzia d4 so ww labda utumie njia ya panya tu ila hamna kitu hapo
D5 anaenda mbona wanachukua kuanzia d4makavu live una D-5 chuo sahau ngazi cheti
ahaaa vyuo uchwara kwa her na d zao 2D5 anaenda mbona wanachukua kuanzia d4
nakushar wangu VETA itakutoa wangu ucjar nichek tuchonge 0658831336Habari za muda huu ndugu zangu me mgeni kwenye jamvi na kijana mdogo nmemaliza kidato cha 4 mwaka 2015.
Sasa je nsomee kozi gani itayofit alama zangu D 3 za Kiswahili,Biology,Civics masomo mengine yote F alafu nilisomea arts.
Msaada wana jamvi
intake itakuwa ni octsasa hao wa march shule wanaanza lini tena...
ok sawa nimekupataintake itakuwa ni oct
Au sio bro nmekusoma kk ngoja nitulize kichwa kwanzaWeka madude hapahapa usije ukaampeleka dogo kwenye chuo ambacho hakijasajiliwa dogo ana d3 ningumu kupata chuo vinginevyo labda veta dogo umli bado unaruhusu kama unapenda kusoma option iliobaki itakuwa ni kurudia paper tu
Pamoja sana saidia kijana huyuAu sio bro nmekusoma kk ngoja nitulize kichwa kwanza
Sent from my TECNO H5 using JamiiForums mobile app