Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,647
- 65,803
ni kweli mkuu,leo hubbie darling anapumzika baada ya hustling za wiki nzima.Nifah mnapeana zamu na The bold kutoa comments jf,maana leo ana like tu, mke unajimwaga uwanjani
ni kweli mkuu,leo hubbie darling anapumzika baada ya hustling za wiki nzima.Nifah mnapeana zamu na The bold kutoa comments jf,maana leo ana like tu, mke unajimwaga uwanjani
mkuu unasema lupela sio wimbo mkali, unajua electronic wewe au ndo ushazoea afropop, hebu pata muda sikiliza electronic musicKuna watu hawataniani bali huumizwa na mafanikio ya hawa wanamuziki...
sababu ni ndogo tuu tabiri za kushindwa kwao...kuna waliotabiri Diamond atafeli akifanikiwa huumia na kuibua yasiyohusika, pia wapo waliotabiri Ally kufeli anapofanikiwa kama hivi huumia na kutafuta pa kujifichia......
Hii ni ishara tosha hata kwenye haya maisha yetu ya kila siku huwa tunatabiriana hivyo yakiwa kinyume ndo hayoo ya kutafuta kichaka,, wahanga ni wengi sana mtu anaweza mchukia na kumtabiria mabaya mwenzake kisa tuu kapita njia asiyoiamini...
kuna watu bila aibu walitumia nguvu nyingi kuikosoa videoza Ally za Mwana na Aje pia wimbo walioshirikiana Saut sol na Ally wakidai Ally kaharibu hajui na mengine mengi wimbo ulipoanza kutamba kwenye chati mbalimbali wakabadili maneno mara kabebwa wengine wakajitia wazimu na kudai ni wimbo wa Saut sol na si wa pamoja, pia wapo waliokosoa wimbo kama wa Nana wa Diamond na Mr.Flavour ama wa Make me sing lakini zilipokuja kubeba tunzo wakaanza hoo kabebwa mara si nyimbo zake na upuuzi kibao.....
hatukatai kuna baadhi ya nyimbo huwa si kali sana kama Lupela ya Ally na Wangu ya Diamond na Dolnard na ni kawaida siku zote huwezi patia mahutaji ya wengi lakini si kila siku maneno mbovumbovu
ulichokisema + avatar mbavu sina
Jitahid utupe tundu hiloooo tutanyamaza...tundu siyo mchezo leteeeeVichwa vyenu vigumu kuelewa kilichobaki ni kuwaoa tu ndio mtaelewa, ameanza The bold kamchukua Nifah,sasa hivi yupo kimya Nifah umsikii tena kushabikia upuuzi wa team kibakuli,tukimaliza wanawake wenu,tunahamia kwa wanaume,mkajiandae!!
mkuu mbona unazungumzia upande mmoja kama sio mtanzania.. KWENYE HIZI TUZO DIAMOND KACHUKUA TUZO TATU NA ALLY KIBA KACHUKUA TUZO MBILI NA NAVY KENZO WAMECHUKUA TUZO MOJA..Wale waliosema kuwa aje haikutakiwa kuwa video bora bongo eti moyoshine ndio ilitakiwa kuchukua hiyo tuzo, Hatima video hiyo imeendelea kupasua anga za kimataifa na hiyo jana kunyakuwa video bora ya mwaka kwa africa kupitia kituo kikubwa cha television cha soundcity televion. Hongera kingkiba View attachment 451942
DIAMOND ALIKUWEPO NA KACHUKUA TATU, KIBA MBILI, NAVY KENZO MOJA..Hivi Diamond hakuwemo hizi tuzo /
stupidiest coment of the yearWewe hilo tundu lako silitaki ni kubwa mno, wakati Mimi ni kibamia
Tunamalizia wanawake,halafu tunahamia kwenu,tutawainamisha kama Salome,nenda kajiandae kuliwa takoJitahid utupe tundu hiloooo tutanyamaza...tundu siyo mchezo leteeee
Upo tayari kwa matusi mkuu? Kama huna timu we soma comments na upite kimya.Ngoja waone comment yako team dodomaMimi si wa timu yoyote lakini ukweli bado sijui utamu wa AJE uko wapi!!!
Safi sanaDIAMOND ALIKUWEPO NA KACHUKUA TATU, KIBA MBILI, NAVY KENZO MOJA..
mkuu unasema lupela sio wimbo mkali, unajua electronic wewe au ndo ushazoea afropop, hebu pata muda sikiliza electronic music
Mimi si wa timu yoyote lakini ukweli bado sijui utamu wa AJE uko wapi!!!
Mkuu huyo jamaa amechanganya kidogo mafaili tuzo alizochukua Diamond, Alikiba na navykenzo ni tuzo za GHANA na sio NIGERIASafi sana
Mkuu umechanganya kidogo mafaili tuzo unazosemea wewe ambazo amechukua Diamond, Alikiba na navykenzo ni tuzo za GHANA na sio NIGERIA.mkuu mbona unazungumzia upande mmoja kama sio mtanzania.. KWENYE HIZI TUZO DIAMOND KACHUKUA TUZO TATU NA ALLY KIBA KACHUKUA TUZO MBILI NA NAVY KENZO WAMECHUKUA TUZO MOJA..
Alikuwa category mbili,best male na African artist of the year!,mshindi alikuwa ni wizkid kwa category zoteHivi Diamond hakuwemo hizi tuzo /