Recent content by Tajiri Kichwa

  1. Tajiri Kichwa

    Kwa mazingira haya wakuu, nifanyeje ili heshima yangu mtaani iweze kurudi?

    Rudia tena mara ya pili zoezi kuonesha hakuna kubahatisha
  2. Tajiri Kichwa

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Next summer tutakua tishio hapo mbele
  3. Tajiri Kichwa

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Hongera kwa ushindi madridistas
  4. Tajiri Kichwa

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Jamii forum ya hovyo sana haileti notification wala kufungua uzi kama hii. Hope kila mmoja anajionea maendeleo ya timu yetu Hala madrid
  5. Tajiri Kichwa

    Kuna wanawake ukiwaomba namba ya simu wanamajibu mabaya sana

    Ukitaka mwanamke akusumbue omba namba ya simu first time
  6. Tajiri Kichwa

    Nauza kiwanja, mbande kimbangulile

    Sema kiwanja kina miti mikubwa hadi umalize kukata iyo miti na kutoa vichaka
  7. Tajiri Kichwa

    Hawa watu Mbezi Mwisho wanatumia kivuli cha Bahati Nasibu kuwaibia watu

    Nishawai leta vurugu hadi hawana hamu na mimi. Ilikua mwanza miaka fulani wakanichezea janja wakasepa na pesa. Nikapanda mlimani kurudi na wahuni. Wahuni walisomba kila kilichopo mbele
  8. Tajiri Kichwa

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Jf siku hizi hovyo sana kila nilikua nikijaribu fungua hii thread ina fail. Hope wakuu huko poa leo mapema chama liko kazini
  9. Tajiri Kichwa

    Katiba Mpya kaa la moto: CCM Kikwete, CCM Magufuli na CCM Samia zote zimeshindwa

    Ndio maana yanapofanyika mabadiriko ya kikatiba hawaji kutuuliza ni wawakilishi wetu bungeni ndio wanafanya
  10. Tajiri Kichwa

    Kocha Stars afanyie kazi mapungufu yaliyojitokeza otherwise tumejitahidi sana

    Wakae chini na mama ikulu wapange kikosi cha kusaidia timu yake kwenda worldcup.
  11. Tajiri Kichwa

    Katiba Mpya kaa la moto: CCM Kikwete, CCM Magufuli na CCM Samia zote zimeshindwa

    Wanasiasa ndio wawakilishi wa wananchi kwenye maaumizi ya serikali
  12. Tajiri Kichwa

    CCM acheni kuitumia Taifa Stars kama mtaji wa kisiasa

    Hii timu natamani sana tufungwe fungwe kidogo ili kelele zipungue
Back
Top Bottom