Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Jamani nyie Bellingham ni jini , haongelewi sana ila huyu dogo ni jini linalotengenezwa ,na majereha asisopata atakuja kuwa bonge moja la monster trust me

jamaa ni another overrated pice of shit, Media za kiengereza zinatumia nguvu nyingi kuaminsha kuwa anaibeba Real Madrid kitu ambacho hakina uhalisia. Licha ya kuwa simkubali Vini lakini huyu jamaa hawezi kumzidi vini wala Rodrygo kwa uwezo.
 
jamaa ni another overrated pice of shit, Media za kiengereza zinatumia nguvu nyingi kuaminsha kuwa anaibeba Real Madrid kitu ambacho hakina uhalisia. Licha ya kuwa simkubali Vini lakini huyu jamaa hawezi kumzidi vini wala Rodrygo kwa uwezo.
Fanya kuondoa magoli aliyofunga akiwa na RMA msimu huu uone kama hana mchango
 
jamaa ni another overrated pice of shit, Media za kiengereza zinatumia nguvu nyingi kuaminsha kuwa anaibeba Real Madrid kitu ambacho hakina uhalisia. Licha ya kuwa simkubali Vini lakini huyu jamaa hawezi kumzidi vini wala Rodrygo kwa uwezo.
Jamaa anajua mpira , anafunga na kuassist ,we unafikiri Arteta ,Pep Guardiola nk ,high profiled coaches kumtaka mtu kama yule unafikiri ni mchezo au sio ? , we huoni mchango wake msimu huu kwenye kufunga na kuassist ? , bila contribution ya Jude , real Madrid msimu huu kwenye ligi wangekuwa wapi ?
Au ndio ninyi mnaangalia mpira kwenye Livescore Tu , hata kwenye Livescore ungeona assists and goals contribution zake
Ni Kenge gani Bernabeu mwenye hata robo ya contribution ya Jude Bellingham msimu huu ?, na hata msimu haujafika nusu
Angalia statistics zinasema vipi ,sio kukimbilia tu anapewa hype ,hype ipi ?
We huwa unaangalia mpira kweli wewe ?
 
Jamaa anajua mpira , anafunga na kuassist ,we unafikiri Arteta ,Pep Guardiola nk ,high profiled coaches kumtaka mtu kama yule unafikiri ni mchezo au sio ? , we huoni mchango wake msimu huu kwenye kufunga na kuassist ? , bila contribution ya Jude , real Madrid msimu huu kwenye ligi wangekuwa wapi ?
Au ndio ninyi mnaangalia mpira kwenye Livescore Tu , hata kwenye Livescore ungeona assists and goals contribution zake
Ni Kenge gani Bernabeu mwenye hata robo ya contribution ya Jude Bellingham msimu huu ?, na hata msimu haujafika nusu
Angalia statistics zinasema vipi ,sio kukimbilia tu anapewa hype ,hype ipi ?
We huwa unaangalia mpira kweli wewe ?
Asipo kuelewa hapa basi atakua na shida
 
Jamaa anajua mpira , anafunga na kuassist ,we unafikiri Arteta ,Pep Guardiola nk ,high profiled coaches kumtaka mtu kama yule unafikiri ni mchezo au sio ? , we huoni mchango wake msimu huu kwenye kufunga na kuassist ? , bila contribution ya Jude , real Madrid msimu huu kwenye ligi wangekuwa wapi ?
Au ndio ninyi mnaangalia mpira kwenye Livescore Tu , hata kwenye Livescore ungeona assists and goals contribution zake
Ni Kenge gani Bernabeu mwenye hata robo ya contribution ya Jude Bellingham msimu huu ?, na hata msimu haujafika nusu
Angalia statistics zinasema vipi ,sio kukimbilia tu anapewa hype ,hype ipi ?
We huwa unaangalia mpira kweli wewe ?

High Profile coach alafu unatutajia arteta, arteta sindie aliemsajili Jesus na Havet kwa 70m? rice kwa 100? sasa ikiwa kaweza fanya sajili za kipuuzi kama hizo anashindwaje kumtaka Jude
 
Au ndio ninyi mnaangalia mpira kwenye Livescore Tu , hata kwenye Livescore ungeona assists and goals contribution zake
Ni Kenge gani Bernabeu mwenye hata robo ya contribution ya Jude Bellingham msimu huu ?, na hata msimu haujafika nusu

hivi wewe unatizama hizo mechi kweli? umekua ukangalia performance za Carvajal, Kroos, Tchouameni? Umemuona Rodrygo kwa mechi za karibuni?auumekua ukiziona Tapin tu za huyo jamaa yako?
 
1701535857676.png
 
Jf siku hizi hovyo sana kila nilikua nikijaribu fungua hii thread ina fail. Hope wakuu huko poa leo mapema chama liko kazini
 
hivi wewe unatizama hizo mechi kweli? umekua ukangalia performance za Carvajal, Kroos, Tchouameni? Umemuona Rodrygo kwa mechi za karibuni?auumekua ukiziona Tapin tu za huyo jamaa yako?
Hao pimbi zako Ridrygo na Carvahal wana goli ngapi na assist ngapi mpaka sasa both ligi na UEFA ?
Acha utoto we dogo
Weka statistics hapa halafu tulinganishe na assists na goals za Bellingham
Unasema tapins
Hao mastrikers wenu mbona hata goals hawana na wanazitafuta kwa tochi ?
Unaongelea contribution , kuna contribution gani unayotaka tofauti na goals na assists ,
Acha kufuatilia mpira kwa kufuatilia ubishi wa vijiwe kahawa ,uwe unaangalia mpira na kujua statistics .
 
Hao pimbi zako Ridrygo na Carvahal wana goli ngapi na assist ngapi mpaka sasa both ligi na UEFA ?
Acha utoto we dogo
Weka statistics hapa halafu tulinganishe na assists na goals za Bellingham
Unasema tapins
Hao mastrikers wenu mbona hata goals hawana na wanazitafuta kwa tochi ?
Unaongelea contribution , kuna contribution gani unayotaka tofauti na goals na assists ,
Acha kufuatilia mpira kwa kufuatilia ubishi wa vijiwe kahawa ,uwe unaangalia mpira na kujua statistics .

Pumba tupu.
 
Back
Top Bottom