Wasisahau kuwa, game yenyewe waliyopoteza ni sie tuliwafunga kwao.,Vijana wa kule Facebook, eti Girona kapoteza game mmoja tu tangu La Liga ianze, nikawaambia leo anapoteza ya pili. Sijui kwanini hii timu watu wanaichukulia poa! Acha Rudiger na Militao warudi ndio tutaheshimiana huko UCL
Changamoto ni kuwa,wanapoangalia mechi za madrid wanakuwa wamezongwa na chuki dhidi sana juu ya hii timu.Vijana wa kule Facebook, eti Girona kapoteza game mmoja tu tangu La Liga ianze, nikawaambia leo anapoteza ya pili. Sijui kwanini hii timu watu wanaichukulia poa! Acha Rudiger na Militao warudi ndio tutaheshimiana huko UCL
Hujui unachoandikanatizama vizuri sana, hua anazunguka tu uwanjani, anongoza kuanguka ovyo kuliko mchezaji yoyote yule uwanjani
Hujui unachoandika
Narudia tena huelewi unachoandika.naona mlikimbia muda tu leo mumerudi
Narudia tena huelewi unachoandika.
Acha kuangalia matokeo ya mpira goal score alafu unakuja na analysis zako uchwara.