Ishini nao kwa akili na mkishindwa amna umuhim wa kuishi nao. Ata mtume Paul alitusii sana kuhusu hawa watu. Ni wanaume wangapi wanakuwa vichaa, au kufa kwa ajili ya hchi kiumbe mwanamke.Na falme zote tangu Dunia inaumbwa zimeanguka kwa ajili ya mwanamke. Labda niwambie kitu kimoja wanaume...
Kwa ufupi tulisha chelewa ushaur aliutoa tangu pindi huo mswada unapelekwa bungen mkakataa ss hv atushaur nn tena?.nie si wazee wa ndiyo endeleeni kujitekenya.
Mkuu tulishachelewa na ndicho lisu anachojaribu kutuambia wa Tz. Hiyo ndiyo faida ya akiliendogo kuongoza akili kubwa na ndiyo kwa kila kitu. Maslahi ya Taifa mnaweka kwenye mswada wa dharura!. Jamani wa tz ni nani aliyetuloga?
Na ili kwenda sawa nae ni itakubidi ukubaliane na hoja zake. Kwan hoja zake ni za kweli siyo za kupikwa kama za hawa wa upande wa kijani waliokosa muelekeo hadi ss!. Mikataba yote mibovu wamefanya wao then leo tena anakuja kujitekenya wenyewe. Kweli Tz ni zaidi ya maajabu.
Hapo ndiyo vidume mtofautishe kati ya kupenda na kutamani.kuna wimbo flan waliimba the welas unaitwa the blac sheet man.kumbe ulikua na maana kubwa sanaa kwa watu wenye rangi kama hyo ya sijui diva.siye watu weusi tuna shida sanaaaa!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.