Alichokisema Lissu juu ya kesi ya Wema

Alichokisema Lissu juu ya kesi ya Wema

Hii imekaaje kwa mbowe kama ni kweli mbona yeye alisachia sa 5 usiku na Tundu lissu akiwepo hakujua kuusu hii sheria
Kwani mbowe ana kesi ya mihadarati mahakamani???
 
Ameandika wakili msomi Tundu lissu

Sio msokoto wa bangi. Hati ya mashtaka dhidi yake inasema Wema amekutwa na gramu 1.08 za bangi. Gramu, sio kilogramu. Polisi waliokamata 'madawa hayo ya kulevya' walifanya sachi saa tatu usiku.

Sheria inayohusu sachi inasema sachi inatakiwa kufanyika kati ya saa moja asubuhi na saa 12 jioni ili, obviously, kupunguza uwezekano wa polisi kupandikiza ushahidi.

Tunamsubiri Paul Makonda mahakamani aje atoe ushahidi wa namna alivyojua Wema anatumia madawa ya kulevya mpaka akamtaja hadharani. Asipokuja basi kesi hakuna.
Makonda kamwaga unga siku mingi
 
Teh tehe.. Kesi ndani ya kumi Na nane za mwenasheria wa karne, hapo wanasheria uchwara wa kijani shart walaze mishale
 
Hana lolote hapo na wema ni mvuta bangi tu hata ukutwe na kete 1 ama msokoto wewe ni mtumiaji tu
 
Sasa huyu wakili "msomi" mbona anaanza utetezi mitandaoni wakati kesi ipo mahakamani?

Hivi wakili haruhusiwi kuongea sehemu zingine, isipokuwa mahakamani tu? ungeuliza hiyo information imepatikanaje kwanza!
 
Ameandika wakili msomi Tundu lissu

Sio msokoto wa bangi. Hati ya mashtaka dhidi yake inasema Wema amekutwa na gramu 1.08 za bangi. Gramu, sio kilogramu. Polisi waliokamata 'madawa hayo ya kulevya' walifanya sachi saa tatu usiku.

Sheria inayohusu sachi inasema sachi inatakiwa kufanyika kati ya saa moja asubuhi na saa 12 jioni ili, obviously, kupunguza uwezekano wa polisi kupandikiza ushahidi.

Tunamsubiri Paul Makonda mahakamani aje atoe ushahidi wa namna alivyojua Wema anatumia madawa ya kulevya mpaka akamtaja hadharani. Asipokuja basi kesi hakuna.

Akili za kuambiwa, ...changanya na zako.....[emoji23]. Information kama hizi ni muhimu sana, zinatusaidia sisi wengine tusiojua sheria, walau kuzitambua baadhi ya haki zetu!
 
Kuna baadhi ya watu katika nchi yetu hawakubali kupelekeshwa na wako tayar kuwasemea wengine by mimi
 
Oops! Tundu Lissu anatoa darasa la sheria mchana kweupe huku kesi ikiendelea. Hii ni dalili tosha ya kiuweledi kuwa hata nikiwapa "hints" mapema hawa wa upande wa mashitaka bado hawana uwezo wa kitaaluma kuwa na counter attack. Kudos mheshimiwa wakili msomi na aliyeelimika Mheshimiwa Lissu.


Lissu:Umesoma

Shahidi:Ndio

Lissu: Una uelewa wa kidogo wa mambo ya sheria?

Shahidi: Mi hayo mambo ya sheria za mahakamani sijui,maana nilisoma Physics

Lissu: Hata Newton's Law of Motion si sheria pia?Nayo huijui!?

Shahidi: Najua...Zipo kama tatu

Lissu :Ok ok...Sasa unaweza kutuambia why the last drop of urine doesn't obey
the law of gravity unless u shake it
well!!

Shahidi:Mimi hiyo sikuisoma

Lissu:Sasa kitu ulichosema unakifahamu,sasa unasema hujui,sasa huoni hata huo ushahidi unaosema ulikuwepo hapa unaweza kuwa unaongea kitu usichokijua?

Shahidi:Sijui
 
Huwezi kujivunia kushinda kesi kwa kutumia 'teknikalitizi' za kimahakama. Jivunie kesi kwa kumtetea mdai ama mdaiwa kulingana na hali halisi ya tukio zima. Usitumie mbinu ovu kuvuruga haki ya mdai. Stivu, kadhibitisha anavuta...wameenda usiku wamekuta 'msuba' wewe unasema ameonewa....!!! ndiyo maana mukulu kulu anataka nanyi mfungwe nao hao wahalifu!
Sasa kama sheria inasema search isifanyike usiku ili ushahidi usiwe planted wewe unafanya kitakachofuatia for any reasonable man ni nini zaidi ya kujitetea kuwa ushahidi ulipandikizwa?. Nashindwa kuelewa hawa askari wanafahamu sema naona wanapelekeshwa na politicians na wao wanafanya bora iende....hapa ushahidi wa bangi iliyokamatwa usiku hautakua admissible kwakweli...kuna technicalities lakini hizi ni procedures aisee za muhimu sana kufata maana zinaathiri haki ya mtuhumiwa ....
 
Duh,kama ndivyo hivyo kwanini walikwenda kufanya upekuzi usiku,imekula kwa rpc Siro!
 
Mimi bado ninawashangaa sana watu wanaoamini makonda alikuwa na nia kweli ya kupigana na madawa ya kulevya!! Nia ya makonda ni dhahiri ilikuwa ovu!!
 
Back
Top Bottom