Tanzania Njema Yaja
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 3,041
- 2,417
Wa south Maku sana.... yaani wao wana amini Makaburu wanao ishi nao ni ndugu zao zaidi kiliko sisi.......
Ulikuwa sehem gani?HIYO MIJAMAA HAIJUI NINI UTU MIAKA MI 3 NILIYOKUWA KULE NILIHISI KAMA NI KARNE NZIMAA NIMEMELIZA! HAWAFI HATA KIDUCHU
Mdogo mdogo itasambaa Afrika nzima wale wazee wa busara weshajiendea kwenye HakiTayari wanaigeria kadhaa washa uawa na wengine wapo hoi hospitali- ila hakuna mbongo aliye athirika na kinachoendelea huko Pretolia West mpaka sasa-- tarehe 24 na 25 mwezi huu- ndo wamepanga kumchakaza kila aina ya mgeni ilimradi tu akiwa ni mwafrika-![]()
![]()
![]()
Ni watu wa ajabu sana Msouth Africa anauliza unatoka wapi unamwambia unatoka Tanzania yeye haijuwi hata TanzaniaInaonekana wazuru na wananchi wengine wa africa kusini wamedumaa akili sana...
wa**nge hao!Hawa wapuuz wamesahau mataifa yalivopambana kuwatafutia uhuru wao
Mnatafuta nini nchi za watu wasiowapenda? Tanzania fursa teleNahisi hata hawa jamaaa wa msumbiji Wameiga south.
Shabashiiiii
DURBAN mkuuUlikuwa sehem gani?
Mungu amsaidie,kuna mtu alimpa tahadhari ya hili tukioHii Hatari Sana
Kuna Member Yupo Njiani Kwenda Huko
Shibekijijini Rudi Home
Wazee ndo wanajua unachosema vijana hawana Habari za nchi zingine za KiafricaHaya majamaa ya south yalitakiwa kujifunza hata kwa wema waliotendewa kwa kupewa hifadhi hata Tz wakati wa apartheid system lakini naona Wivu, chuki dhidi ya wageni vinawasumbua.
Kiongozi,Wachina sio Waafrika.Wao ugomvi wao ni waafrika tu.Hawa jamaa wabinafsi sana walishafanya hivyo this is second time Wachina hawa waliojazana hapa dar wangekuwa south africa mochwari zingejaaa nawaza tu